mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Upo wapi? isijekuwa n kwa bajaji ya buku
Ulipo unavuka mikoa 7 kunifikiaa saivi nauli ni elfu 90 luxury mpk lakii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo wapi? isijekuwa n kwa bajaji ya buku
Nifanyie utaratibu nikutane na wamaanaUnakutana na wasichana wa hovyo
Hujajibu swali, wewe upo wapi?Ulipo unavuka mikoa 7 kunifikiaa saivi nauli ni elfu 90 luxury mpk lakii
Inaitwa BAGGAGE ALLOWANCEMapenzi ni hisia kati ya mwanaume na mwanamke, na kinachowaunganisha ni hizo hisia walizojijengea wao katika mahusiano waliyonayo.
Kama mmoja atakuwa na hisia zaidi kuliko mwenzake, huyo lazima awe mtumwa katika hayo mahusiano; atateseka kiuchumi na kifikra katika kumfurahisha mwenzake ili asije kumkimbia.
Hayo tunasema, sio mahusiano yenye afya kwa binadamu; kwa sababu pale utakaposhindwa kutimiza mahitaji ya upande wa pili, lazima uhusiano utetereke.
kwa mantiki hiyo, kama mahusiano yatakuwa na afya hakutakuwa na kuuziana hisia; kama kukulipia nauli ndio uje, kukununulia kitu fulani ndio unipe penzi, au mpaka nikuonge kitu fulani ndio ujenge hisia kuwa na mwenzako n.k tunasema huo ni ubatili katika mahusiano.
Naamini kama utakuwa na hisia na mwenzako, utagharamika kivyako ili muweze kuwa na mwenzako, bila kumpa mwenzio gharama akugharamikie.
Wanaume tushtuke, usisafirishe mzigo; kama ana mapenzi na wewe atakuja mwenyewe ata kwa kukopa.
Tofauti na hapo, tutakuwa tunauziana; ndio maana usafirishaji wa mizigo unakuwepo.
kipindi cha miezi sita ukijia una ratiba ya kutombwaaa , tafuta kibubu.. umfurahishe mwenzako, aone ayupo na furushi bali yupo na mtu
Mzigo ukimpa konda lazima uwe na wasiwasi na huenda usifike, sawa na kutuma nauli kwa mwanamke ambaye hata hajakuelewa unataka aje gheto au guest flan utaliwa tu. Km unamjali mpenzio hawezi kudai nauli shida wapo wagalatia wao wanajua kupaka vumbi la kongo na kusimamia shoo hawajui kutoa maintanance fee lazima wadaiwe nauli.Mapenzi ni hisia kati ya mwanaume na mwanamke, na kinachowaunganisha ni hizo hisia walizojijengea wao katika mahusiano waliyonayo.
Kama mmoja atakuwa na hisia zaidi kuliko mwenzake, huyo lazima awe mtumwa katika hayo mahusiano; atateseka kiuchumi na kifikra katika kumfurahisha mwenzake ili asije kumkimbia.
Hayo tunasema, sio mahusiano yenye afya kwa binadamu; kwa sababu pale utakaposhindwa kutimiza mahitaji ya upande wa pili, lazima uhusiano utetereke.
kwa mantiki hiyo, kama mahusiano yatakuwa na afya hakutakuwa na kuuziana hisia; kama kukulipia nauli ndio uje, kukununulia kitu fulani ndio unipe penzi, au mpaka nikuonge kitu fulani ndio ujenge hisia kuwa na mwenzako n.k tunasema huo ni ubatili katika mahusiano.
Naamini kama utakuwa na hisia na mwenzako, utagharamika kivyako ili muweze kuwa na mwenzako, bila kumpa mwenzio gharama akugharamikie.
Wanaume tushtuke, usisafirishe mzigo; kama ana mapenzi na wewe atakuja mwenyewe ata kwa kukopa.
Tofauti na hapo, tutakuwa tunauziana; ndio maana usafirishaji wa mizigo unakuwepo.
Wengine huwa wanapima ule ujali wako kwanza; ili baadaye uanze kulamba asali
hizo hela unazotumia, changanya changa kwa miezi inatosha kabisa kupata nauli ya kwenda na kurudi..Hahaha nicheke mie kwa hela gani ya kubana wakati kwa siku posho yangu ni 0.00%
banaa wewe kuna wanawake wana hela, ila hatoi hata mia tano.. kaisha zoe omba tuu na kutiwa basi
hizo hela unazotumia, changanya changa kwa miezi inatosha kabisa kupata nauli ya kwenda na kurudi..
Itakuwa kusini hiiUlipo unavuka mikoa 7 kunifikiaa saivi nauli ni elfu 90 luxury mpk lakii
Hivi kweli mwanamke hata nauli hana wa nn sasa? Jiheshimu ww kama mwanaume
Huwa nampumzisha mkuu na akiwa hayuko sawa namsaidia,Sio vizinga mwanzo mwisho😬Unamfanya atimize ndoto zako na si kutimiza zake
Hujajibu swali, wewe upo wapi?
Online inasaidia sana kwa mahusiano ya muda mfupiBadala ya kupoteza hela kwa mtu na kubembeleza juu. Unaingia tinder unalipia demu mkali, unamaliza kazi, unafanya shughuli nyingine za msingi. Eidha ni relationship au unalipia huduma ni kujua moja.
acha kujishusha hadhi na thamani mremboBasi mseme kwa wenye hela watumie pesa zao ila sie kapuku ni kutuma na ya kutoleaa
Una value kubwa sana mrembo, usijishushe kwa mambo madogo madogo kama ya nauliSina pesa nikipata nitatumia nauli yangu
Huko mbali Sana hapana jina? Nitajie hata pmNiko mbali sanaaa