Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

kitombo ni part ya mahusiano, ila msifanye kama chakula . hata anae toka kisalawe hadi boko nae kila ukimuita ni kutombwer tu ?

Asa jmn ukiona mtu anatuma mpk nauli ujue ni long distance relationship kwaiyo kuonana hata baada ya miezi 6 so hawafanyani hivyo hivyo wanamisianaa ndio maana wanatumiana na naulii
 
Asa jmn ukiona mtu anatuma mpk nauli ujue ni long distance relationship kwaiyo kuonana hata baada ya miezi 6 so hawafanyani hivyo hivyo wanamisianaa ndio maana wanatumiana na naulii
kipindi cha miezi sita ukijia una ratiba ya kutombwaaa , tafuta kibubu.. umfurahishe mwenzako, aone ayupo na furushi bali yupo na mtu
 
Kuna wanawake wapo smart sana, kuna mmoja JF hadi alinitoa aout akalipa zaidi ya 300,000 .. kila kitu juu yake . [emoji28][emoji28] na wala hatukuwa tiana tumebaki kama kaka na dada tu

Sio smart huyo ana kazi yake mjini

Wanawake hatufananii kiuchumi kama mlivyo wanaume


So mimi nafikiri usitume nauli kama unajua huyo mpnz wako ana hizo pesa za kukufuataa
 
Wewe mimi sio wa kunishauri hivyo nilishavuka huko sili nauli ya mtu ila naendaa hatakii ale nauli yake
Wengine huwa wanapima ule ujali wako kwanza; ili baadaye uanze kulamba asali
 
Ila humu kuna wanawake wako njema sanaa kwa pesa sipingi kauli yako mpendwa.
Mpendwa mie huwa nakukubali sana rafiki, alafu nina kuheshimu sana. Sure humu wapo wanadada wana akili nzuri sana na ni good mama hata ni wake wema na hata wanaume pia wapo.. ila ukiangukia puaa sasa utakutana na tatizo la hatari 😅😅😅
 
Tatizo mna force mapenzi mwanamke akikupenda wala hasumbui hivo.

Mimi zaman nilikua natumia gharama sana ila saiv nimeacha nina mtu ambaye nikimuhitaji muda wowote nampata, simtumii nauli wala hanipigi mzinga ila huwa nampa chochte kwa mapenz yangu binafsi nikijiskia.

Haniombi kabisa hela hata 100 kwasababu anafanya kazi na mimi nafanya kazi ila huwa nampa kwasababu ni mwanamke wangu pale napojiskia.

Haninyimi penzi muda wowote nikitaka napewa. Kwahyo ushauri acheni kulaZimisha mapenzi kama mwanamke haeleweki piga chini wapo wengi sana
 
Back
Top Bottom