Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Mapenzi ni hisia kati ya mwanaume na mwanamke, na kinachowaunganisha ni hizo hisia walizojijengea wao katika mahusiano waliyonayo.

Kama mmoja atakuwa na hisia zaidi kuliko mwenzake, huyo lazima awe mtumwa katika hayo mahusiano; atateseka kiuchumi na kifikra katika kumfurahisha mwenzake ili asije kumkimbia.

Hayo tunasema, sio mahusiano yenye afya kwa binadamu; kwa sababu pale utakaposhindwa kutimiza mahitaji ya upande wa pili, lazima uhusiano utetereke.

kwa mantiki hiyo, kama mahusiano yatakuwa na afya hakutakuwa na kuuziana hisia; kama kukulipia nauli ndio uje, kukununulia kitu fulani ndio unipe penzi, au mpaka nikuonge kitu fulani ndio ujenge hisia kuwa na mwenzako n.k tunasema huo ni ubatili katika mahusiano.

Naamini kama utakuwa na hisia na mwenzako, utagharamika kivyako ili muweze kuwa na mwenzako, bila kumpa mwenzio gharama akugharamikie.

Wanaume tushtuke, usisafirishe mzigo; kama ana mapenzi na wewe atakuja mwenyewe ata kwa kukopa.

Tofauti na hapo, tutakuwa tunauziana; ndio maana usafirishaji wa mizigo unakuwepo.
🙏💪👌💯Daah!💞✔️umenena kitu kizito mno halafu Short and clear
 
Huwa naona aibu...uchi ukupatie mtaji, bora mume wako skufanyie hayo.
Sorry kwa lugha ya kuudhi rafiki yangu...
Wala hujaniudhi ni maoni yako mpendwa hakuna mapenzi yasiyokuwa na kusaidiana pale inapohitajika yaani niogope kumuomba mpenzi wangu pesa ya msingi kwa kuogopa nitaonekana nauza hiyo kwangu haipo hivyo kwani pesa ya kupewa kwangu haiendi bure matunda yataonekana na mhusika.
 
Ukiona mwanamke katoaa pesa ake ujue utailipaa zaidii ya hiyo

Kama my wangu aliniomba mia2 ya vocha sasa hivi analipaa zaidii ya hiyoo[emoji38][emoji38]
Hiyo haina shida, lakini ile hali ya kuchakarika ya kuonyesha na wewe una mchango fulani, huwa inamaana sana kwenye mahusiano.
 
Nishawahi kujilipia nauli yangu mara 1 na mpk leo ile hela inaniumaa

Nilitumia karibu elfu70 nafika morogoro napiga simu haipokelewi sms hazijibiwii….. mpk nafika daslama mtu hapokeii [emoji24][emoji24]sikuonana nae mpk nikarudi nilipotoka tena kwa nauli yangu

Yule bwegeee ….. ni mwanaume wa ajabu sana sijawahi onaaa[emoji1787]

Kwa kweli sitorudiaa tenaaa hata kama nauli ni mia2 utatuma tu
🤣🤣🤣🤦🤦🤦pole Sana,Ila shukuru ukute Mungu alikuepusha na HIV na UTI sugu
 
Kuja tu ni kukujali nyie hamjuagi tu..mana mtu anaacha mambo yake anakufuata (ukute wewe ya kwako yanaendelea kama duka unafungua kazini unaenda) sasa kwa nini msishee hasara
Kama ni hivyo, yeye amtumie nauli mwanaume wake
 
Unamtoaa mtu mkoa kwa mkoa anavuka mikoa 7 anavuka bahari aje kwako mpige story tu wewe utakuwaa bwege [emoji1787][emoji1787]
kitombo ni part ya mahusiano, ila msifanye kama chakula . hata anae toka kisalawe hadi boko nae kila ukimuita ni kutombwer tu ?
 
Na kwa nini Mwanamke umfate,Raha ya Mwanamke jamaa afunge safari kukufata harafu kuna vizinga Mwanamke ukiomba unajishusha cheo piga kizinga kikitikii una duka la nguo au kiwanja😜😬😁
Wewe ni wale wale nauli na vizinga kausha damu 😀 😀 😀
 
Ukiona una date na mademu wanaomba nauli, jua una date na malaya bado au machokolaa wa kimapenzi.. Mwanamke anae shindwa hata jihudumia nauli huyo hana maana kabisa
Mmhh noma sana japo shida zipo lakini tusi draw conclusion kwa wote.
 
Nauli tunatum kwa mademu wa Kitanga tu Nyie Wachaga mkajibebe,

haiwezekan unamtumia nauli dem wa kichaga kweny minyanduano anajifany anajua kunyonya unamuachia anaipitisha kweny Meno mpk inachubuka hili kabila Pumbavu kabsa,

Wachaga Mjirekebishe PUMBAVU
 
Back
Top Bottom