National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
bora wewe zina charge kama nauli buku ten, wachange buku 5 kila mmojaWachange. Teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora wewe zina charge kama nauli buku ten, wachange buku 5 kila mmojaWachange. Teh
Pole sana 😂😂Sikuwa najua chochote kama hivyo alisema tuonane mimi nilikuwa na viakibaa vyangu vya poshoo ya uchaguzii wa Magufuli nikamfuattaa tena nikampa taarifa akasema poa njoo
Nashangaa tu nafikaa Moro mtu hapokeii simu mpk naingiaa Dar ikabidi nimtafute best angu wa Dar nikalala kwake siku mbili napiga hapokei nikageuza akakaa siku mbili akanitafutaa et ananiambia simu yake ilikuwa mbovu haiwezii kupokelekaa wala kujibu chochote daaaaaaa
Hao wanakuwa sio waifu matirio 😀 😀[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni Africa mwanamke anapokea mpk ajisikie ndio anatoaa
Mzee acha kabisa 😂 na usipotoa atanuna huyoBora wa chuo utampa hela ya vitini; ila hawa wabobezi watakupiga mizinga, mara kodi kikoba, saluni n.k
Nayajua ila kwenye ishu ya safari hawakosi nauli kikubwa awe anakukubali. Kama hana abaki tu maana Wana saundi nyingi sana, unatuma nauli anakuambia kuna test mara presentation hawezi kuja na hawezi kurudisha hela.
Story si upige na washkaji hapo kitaa?achana na level hiyo ya mapenzi. kama una date na demu ambae anakosa hata laki moja au 50 hamna kitu hapo.. sio kila mtu anapo muita mpenzi wake basi ni kumtomber , wakati mwingine ni story tu mtu ume mkumbuka mwenzako .. tafuteni hela muwe msaada kwa wapenzi wao msiwe kama virushi vya taka taka banaaa.. msione tunashida sana na kumer
😂 Enzi hizo hela ngumuHahahahaha sasa kwanini u date na wazinguajii wanaokula nauli sema na wewe ni Kabahili tu
kwaiyo kila ukiitwa unachezea tu kitombooer? hamnaga mambo mengine zairi ya kutianaStory si upige na washkaji hapo kitaa?
Ilikuwa ajali kazini,usichoke; mtafutaye huwa hachoki
Wanawake wanaojimudu wengi hawako romantic, wako busy, age zimeenda, ni single mothers, wana vitambi nk. Ndio maana tunatuma nauli kwa pisi za chuo.achana na level hiyo ya mapenzi. kama una date na demu ambae anakosa hata laki moja au 50 hamna kitu hapo.. sio kila mtu anapo muita mpenzi wake basi ni kumtomber , wakati mwingine ni story tu mtu ume mkumbuka mwenzako .. tafuteni hela muwe msaada kwa wapenzi wao msiwe kama virushi vya taka taka banaaa.. msione tunashida sana na kumer
Na ya kusuka je..mana hawezi kuja mkoa na minyoosho.bora wewe zina charge kama nauli buku ten, wachange buku 5 kila mmoja
Mwanamke anaempenda mwanaume, atakuwa na kitu cha kufanya kwenye hayo mahusiano hata kujitoa kwa mambo madogo madogo.
Mi huko nishavuka nalea familia now..pambaneni vijanakwaiyo kila ukiitwa unachezea tu kitombooer? hamnaga mambo mengine zairi ya kutiana
demu anae shindwa kuingia mfukoni kutoa hata 50 ya nauli ? kifurushi tu hicho.. hao mademu wa chuo nimetomber sana .. ila wanajiongeza mzeeWanawake wanaojimudu wengi hawako romantic, wako busy, age zimeenda, ni single mothers, wana vitambi nk. Ndio maana tunatuma nauli kwa pisi za chuo.
Mwanaume anajua majukumu yake. Ila msio maomba omba kwa kila jambo kama watu tegemeziNa ya kusuka je..mana hawezi kuja mkoa na minyoosho.
nyie ni omba omba ?Hizo ni nadhariaa sio reality
Pole sana [emoji23][emoji23]
Kwahiyo posho ikaishia kuwa ya kutembelea bure aisee
Ila wanawake mkipenda [emoji847]hamshindwagi kitu
kamaa unalea safiMi huko nishavuka nalea familia now..pambaneni vijana
Swali ni kwanini asichangie ata kidogo basi ili angalau kuonyesha ile hali ya kujaliKama humtumii nauli at least mtumie ticket.
Hao wanakuwa sio waifu matirio 😀 😀