Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #61
Nadhani hilo jina limetokana na kusafirishwa (kutumiwa nauli) 😀 😀Si huwa tunaita madem mzigo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hilo jina limetokana na kusafirishwa (kutumiwa nauli) 😀 😀Si huwa tunaita madem mzigo?
Kiufupi ulikua unavuruga mahisiano ya watu wawiliSasa kwanini akubali nijee???
Kiufupii jamaa alikuwa anaishii na mwanamke sasa sijui wakati anataka tuonanee mwanamke wake hakuepo akaja ghaflaa akaamuaaa amute simu yangu
Mwanamke ambae ana tija katika maisha ya mwanaume, huwezi kuta ana hizo tabia (kujiendekeza na hizo tabia ) za kimalaya malaya za kuanza omba nauli kisa kaitwaa, huko kwingine nauli anapata wapi ? Bro kama bado una date na mademu wa hivyo angalia.. hao ni sawa na viroba tuUmetangaza vita 😀 😀
Sasa demu ambae anashindwa kujihudumia kwa nauli, huo ni mzigo kama mizigo mingine tuu, usitegemee akawa na tija na msaada . Hata kama hayupo vizuri mwenye timamu ataonesha nae anaweza fanya jamboo..
Hukuwa unayajua hayo yote kabla ya safari?Sasa kwanini akubali nijee???
Kiufupii jamaa alikuwa anaishii na mwanamke sasa sijui wakati anataka tuonanee mwanamke wake hakuepo akaja ghaflaa akaamuaaa amute simu yangu
Kiufupi ulikua unavuruga mahisiano ya watu wawili
Ilikuwa ajali kazini,usichoke; mtafutaye huwa hachokiNishawahi kujilipia nauli yangu mara 1 na mpk leo ile hela inaniumaa
Nilitumia karibu elfu70 nafika morogoro napiga simu haipokelewi sms hazijibiwii….. mpk nafika daslama mtu hapokeii [emoji24][emoji24]sikuonana nae mpk nikarudi nilipotoka tena kwa nauli yangu
Yule bwegeee ….. ni mwanaume wa ajabu sana sijawahi onaaa[emoji1787]
Kwa kweli sitorudiaa tenaaa hata kama nauli ni mia2 utatuma tu
achana na level hiyo ya mapenzi. kama una date na demu ambae anakosa hata laki moja au 50 hamna kitu hapo.. sio kila mtu anapo muita mpenzi wake basi ni kumtomber , wakati mwingine ni story tu mtu ume mkumbuka mwenzako .. tafuteni hela muwe msaada kwa wapenzi wao msiwe kama virushi vya taka taka banaaa.. msione tunashida sana na kumerInategemeana na financial ya mtu huwezi mwambia mtu anaekaa kwao hana chanzo chochote cha kupata pesa halafu useme ajilipie nauli ya elfu 50 labda kama unataka aombee wazazi wake nauli uje umtomb….
tembea kwa mguu.. kama hana hela je unae muomba ?Kama humtumii nauli at least mtumie ticket.
Hukuwa unayajua hayo yote kabla ya safari?
Pole..badae akasemaje?Nishawahi kujilipia nauli yangu mara 1 na mpk leo ile hela inaniumaa
Nilitumia karibu elfu70 nafika morogoro napiga simu haipokelewi sms hazijibiwii….. mpk nafika daslama mtu hapokeii [emoji24][emoji24]sikuonana nae mpk nikarudi nilipotoka tena kwa nauli yangu
Yule bwegeee ….. ni mwanaume wa ajabu sana sijawahi onaaa[emoji1787]
Kwa kweli sitorudiaa tenaaa hata kama nauli ni mia2 utatuma tu
Bora wa chuo utampa hela ya vitini; ila hawa wabobezi watakupiga mizinga, mara kodi kikoba, saluni n.kUsiombe awe ni wa chuo 😂
achana na level hiyo ya mapenzi. kama una date na demu ambae anakosa hata laki moja au 50 hamna kitu hapo.. sio kila mtu anapo muita mpenzi wake basi ni kumtomber , wakati mwingine ni story tu mtu ume mkumbuka mwenzako .. tafuteni hela muwe msaada kwa wapenzi wao msiwe kama virushi vya taka taka banaaa.. msione tunashida sana na kumer
Wachange. Tehtembea kwa mguu.. kama hana hela je unae muomba ?
Nayajua ila kwenye ishu ya safari hawakosi nauli kikubwa awe anakukubali. Kama hana abaki tu maana Wana saundi nyingi sana, unatuma nauli anakuambia kuna test mara presentation hawezi kuja na hawezi kurudisha hela.Inategemeanaaa na umbali unapoishii sio nauli elfu 50 halafu unataka mwanachuo ajilipiee nauli unajua elfu 50 ni kubwa kwa maisha ya chuo yalivyo magumu
Mwanamke anaempenda mwanaume, atakuwa na kitu cha kufanya kwenye hayo mahusiano hata kujitoa kwa mambo madogo madogo.[emoji23][emoji23][emoji23] kwaiyo unafikiri kama wewe unakutanaga na wadada wenye kazi zao zinazowaingizia pesa unafikirii ni TZ yote wanawake wana hizo hela
Ndio maana kuna wanawake ambao wanaolewa wanatokea kwao hawana chochote zaidii ya nguo walizonunuliwa na wazazi wao