mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Ukitolewa 'out' jitahidi ununue ata kachumbari ya 500; unatakiwa uonyeshe ata kajitihada basi cha kujali.
[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni Africa mwanamke anapokea mpk ajisikie ndio anatoaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitolewa 'out' jitahidi ununue ata kachumbari ya 500; unatakiwa uonyeshe ata kajitihada basi cha kujali.
Mzee nilishatuma nauli na ela ya kuku mzima wa Kula njiani alafu zikawa bla blaa nyingi 😂mzee naona unaongea kwa uzoefu kabisa, tena kwa uchungu uliojificha 😅 😅 😬
Na ndio maana Samia katuletea ndege ya mizigo 😂ndio maana usafirishaji wa mizigo unakuwepo.
Wameshatuona sisi wanaume ni ma bogus ndio tunatakiwa tugharamike tuUkiona una date na mademu wanaomba nauli, jua una date na malaya bado au machokolaa wa kimapenzi.. Mwanamke anae shindwa hata jihudumia nauli huyo hana maana kabisa
Sasa demu ambae anashindwa kujihudumia kwa nauli, huo ni mzigo kama mizigo mingine tuu, usitegemee akawa na tija na msaada . Hata kama hayupo vizuri mwenye timamu ataonesha nae anaweza fanya jamboo..Hivi nauli ya daladala mia4 utafananisha na nauli za mkoa tu mkoaa yaani kabisa sina kazi halafu usinitumie nauli utegemee hiyo elfu50 naitoa wapi ya kukufuataa
😅 😅 😅 😬 dahzikawa bla blaa nyingi
malaya tu ndio wanaomba nauliWameshatuona sisi wanaume ni ma bogus ndio tunatakiwa tugharamike tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hana kazi hela anatoa wapii au ndio aombe wazazi nauli ya kuja kwako ili umnyanduee
Hao wajanja sana baadhi wanazo, mbona wengi tu wanawashtukiza wapenz wao.Sasa mwanachuo anatoa wapi nauli???
Hakika wwe ni Mama mzungu una roho ya kizungu huyo mwamba alikua na mazingira mabovu hakutaka uyajue. Mnapatikana wapi wa hivi? Kumbe bado mpo
Wapige kwanza nyeto halafu waone kama nguvu ya kutuma nauli itakuwepoWapo wanaotumiwa nauli, wausafirishe mzigo
Ulikua unadate na mvulana,mwanaume hawezi kufanya huo ujingaNishawahi kujilipia nauli yangu mara 1 na mpk leo ile hela inaniumaa
Nilitumia karibu elfu70 nafika morogoro napiga simu haipokelewi sms hazijibiwii….. mpk nafika daslama mtu hapokeii [emoji24][emoji24]sikuonana nae mpk nikarudi nilipotoka tena kwa nauli yangu
Yule bwegeee ….. ni mwanaume wa ajabu sana sijawahi onaaa[emoji1787]
Kwa kweli sitorudiaa tenaaa hata kama nauli ni mia2 utatuma tu
Hao wajanja sana baadhi wanazo, mbona wengi tu wanawashtukiza wapenz wao.
Ulikua unadate na mvulana,mwanaume hawezi kufanya huo ujinga
Si unabembeleza ndoa au?[emoji849]Hivi nauli ya daladala mia4 utafananisha na nauli za mkoa tu mkoaa yaani kabisa sina kazi halafu usinitumie nauli utegemee hiyo elfu50 naitoa wapi ya kukufuataa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunatuma nauli pale ambapo kuna uwezekano wa angalau asilimia 50 kwamba huyo mtu atakuja. Wewe uwezekano wa kuja ni asilimia sifuri 🤣😅😅😅hebu nitumie na mie
Umetangaza vita 😀 😀Ukiona una date na mademu wanaomba nauli, jua una date na malaya bado au machokolaa wa kimapenzi.. Mwanamke anae shindwa hata jihudumia nauli huyo hana maana kabisa
Si unabembeleza ndoa au?[emoji849]