Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
mshamba_hachekwi sa jaman nauli tu nayo ya kuja kulia lia hapa 🤣🤣🤣👋muone 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mshamba_hachekwi sa jaman nauli tu nayo ya kuja kulia lia hapa 🤣🤣🤣👋muone 😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama ni hivyo, yeye amtumie nauli mwanaume wake
Kuna wanawake wapo smart sana, kuna mmoja JF hadi alinitoa aout akalipa zaidi ya 300,000 .. kila kitu juu yake . 😅😅 na wala hatukuwa tiana tumebaki kama kaka na dada tuMmhh noma sana japo shida zipo lakini tusi draw conclusion kwa wote.
sasa kwanini mwanamke asitumie yake....😂 nauli sio kitu cha kuombamshamba_hachekwi sa jaman nauli tu nayo ya kuja kulia lia hapa 🤣🤣🤣👋
Waelekeze,maana wanajizima dataHata mwanao ili akupende inabidi uwe unamnunulia tuzawadi sembuse unakotegemea mbususu! Hata binamu yako huwezi kumla bure bure nakwambia
Hii wiki inayoanza kesho haiishi lazima nitume nauli aisee baridi imekua kali huku kanda ya kaskazini [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] Pole Sana najua inauma Sana
Nawaamsha watu waliolala usingizini waamke na washtuke mapema 😀 😀Ila Kwa huu mfulilizo wa hizo thread zako inaonyesha una stress,,hebu tulia kwanza...kwani nauli sh ngapi Hadi unalalamika hivyo?si umtumie tu
Bora niende vinginevyo aje na nauli yake
mshamba_hachekwi akuuuuuuuu mwanamke hapaswi kuomba huo ni wajibu wako kumtumia nauli 🤣🤣🤣👋sasa kwanini mwanamke asitumie yake....😂 nauli sio kitu cha kuomba
Hapo utakuwa wewe ndio unalazimisha mahusiano, maana yake unakuwa unatumia nguvu kubwa kumshawishiHata mwanao ili akupende inabidi uwe unamnunulia tuzawadi sembuse unakotegemea mbususu! Hata binamu yako huwezi kumla bure bure nakwambia
Bora niende vinginevyo aje na nauli yake
Inawezekana unamfanya shemeji yetu awe anaongea mwenyewe mwenyewe huko njianiKizinga napiga sio nauli wala vocha 🤨😁😁
ndio maana afrika hatuendelei 😂huo ni wajibu wako kumtumia nauli
Huyo Mwanamke ajengewe Sanamu jamanii🙆🏾♀️😬😬Kuna wanawake wapo smart sana, kuna mmoja JF hadi alinitoa aout akalipa zaidi ya 300,000 .. kila kitu juu yake . 😅😅 na wala hatukuwa tiana tumebaki kama kaka na dada tu
Huyo yupo smart sana.Kuna wanawake wapo smart sana, kuna mmoja JF hadi alinitoa aout akalipa zaidi ya 300,000 .. kila kitu juu yake . 😅😅 na wala hatukuwa tiana tumebaki kama kaka na dada tu
Wala mkuu 😁😁Inawezekana unamfanya shemeji yetu awe anaongea mwenyewe mwenyewe huko njiani
Endelea na moyo huo huo wa kutumia nauli yako, ipo siku utakutana na mtu sahihi, na utafurahia hayo mahusiano mapya
mshamba_hachekwi unajichomoa battery eeh🤣🤣🤣👋ndio maana afrika hatuendelei 😂
Aisee sie wakina kajamba nani kumbe hatuko smart😬Huyo yupo smart sana.