Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #201
Yaani anakuwa hana chakuchangia zaidi ya kulana tuHivi kweli mwanamke hata nauli hana wa nn sasa? Jiheshimu ww kama mwanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani anakuwa hana chakuchangia zaidi ya kulana tuHivi kweli mwanamke hata nauli hana wa nn sasa? Jiheshimu ww kama mwanaume
Unaweza kusema nina 30 nimepungukiwa 70; kama nimuelewa atajua yuko na mtu anayejaliSio kwa nauli ya laki 1 labda mia4
Hapana sio mahusiano. Jiulize point ya relationship ni nini beside sex? Nothing zaidi ya kutumia gharama kuhudumia mtu. Hivyo kama point ya mahusiano mostly ni sex. Basi Tinder inamaliza hiyo kazi. Ni kupiga na kusepa.Online inasaidia sana kwa mahusiano ya muda mfupi
Kama ni mme wa mtu, muache alee familia yake 😀 😀Huwa nampumzisha mkuu na akiwa hayuko sawa namsaidia,Sio vizinga mwanzo mwisho😬
'Sex' utapata, ila 'love' hutopata; kinachofanya watu wawe kwenye mahusiano ni 'sex & love', hapa ndipo pagumu.Hapana sio mahusiano. Jiulize point ya relationship ni nini beside sex? Nothing zaidi ya kutumia gharama kuhudumia mtu. Hivyo kama point ya mahusiano mostly ni sex. Basi Tinder inamaliza hiyo kazi. Ni kupiga na kusepa.
Hiyo nitumie nauli ni biashara, watu wa hivyo wanakusanya pesa nyingi kwa siku, anaweza kuahidi mamia ya watu na asiende kwa mtu hata mmoja, na wengi wako facebookNaamini kama utakuwa na hisia na mwenzako, utagharamika kivyako ili muweze kuwa na mwenzako, bila kumpa mwenzio gharama akugharamikie.
Huwa sielewi kwa Nini imekuwa inaonekana kumuomba mpenzi wako pesa ni kosa, kosa ni kuombaomba hela kwa wanaume wasio wako Maana unatengeneza ukaribu usio na lazima...Binafsi Siwezi acha kumuomba hela mpenzi wangu yaani siwezi,...na uzuri huwa Naongea na mpenzi wangu wazi kàbisa Kama hawezi basi Ila siwezi omba wanaume wa mwenzangu nimuache mwanaume wanguWala hujaniudhi ni maoni yako mpendwa hakuna mapenzi yasiyokuwa na kusaidiana pale inapohitajika yaani niogope kumuomba mpenzi wangu pesa ya msingi kwa kuogopa nitaonekana nauza hiyo kwangu haipo hivyo kwani pesa ya kupewa kwangu haiendi bure matunda yataonekana na mhusika.
Imagine!Kuna tatizo mahali...nauli yenyewe ni ya basi je ingekuwa ya ndege?mshamba_hachekwi sa jaman nauli tu nayo ya kuja kulia lia hapa 🤣🤣🤣👋
Hadi wewe jamani,mi nilijua wewe sio mwanajeshi wa kikosi Cha mizinga🤔🤔😄😄😄Kizinga napiga sio nauli wala vocha 🤨😁😁
Tofauti ni Nini hapa?Huwa naona aibu...uchi ukupatie mtaji, bora mume wako skufanyie hayo.
Sorry kwa lugha ya kuudhi rafiki yangu...
Ndo ukweli lazima wanaume tujiheshimu, hivi kweli mwanamke hata nauli hana sasa wa nn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tofauti ni nia.Tofauti ni Nini hapa?
Ni upumbavu na kutokujiheshimu na kujithmini ww kama mwanaumeYaani anakuwa hana chakuchangia zaidi ya kulana tu
Mwehu Kama huyo hatakiwi kuchosha moyo wako.Iliniumaa ila mpk sasa nimeshukuruu
Tunaongelea mpenzi hapa,,huoni Kuna majukumu ya kufanya Kama mpenzi?Tofauti ni nia.
Umelenga umvulie mtu ili akupe mtaji.
Huko ni kuuza utu wako
Joannah Flight ticket nadhani wangetoa tangazo Mwananchi🤣🤣🤣👋Imagine!Kuna tatizo mahali...nauli yenyewe ni ya basi je ingekuwa ya ndege?
Asante dear umeelewa comment yangu 😍Huwa sielewi kwa Nini imekuwa inaonekana kumuomba mpenzi wako pesa ni kosa, kosa ni kuombaomba hela kwa wanaume wasio wako Maana unatengeneza ukaribu usio na lazima...Binafsi Siwezi acha kumuomba hela mpenzi wangu yaani siwezi,...na uzuri huwa Naongea na mpenzi wangu wazi kàbisa Kama hawezi basi Ila siwezi omba wanaume wa mwenzangu nimuache mwanaume wangu
Napiga vizinga ila sio vocha,nauli hiyo hapana kwangu yaani najua nikipata pesa hata mhusika atapenda nimpige kizinga kingine 😁😁😁Hadi wewe jamani,mi nilijua wewe sio mwanajeshi wa kikosi Cha mizinga🤔🤔😄😄😄