Date your size hutopata shida. Ukiona mwanamke kasema babe nakuja na the wings of kilimanjaro usimchukulie pouwa uwezo huo anao ndo maana anakukumbusha majukumu yako.
Aisee umenikumbusha kaka wa moshi alitakaga nipandisha nyeunge! At this? Nikalishe takle for good 12hrs kisa nimfate mwanaume? Nilimwambia akawasafirishe kwenye nyehunge wachaga wenzie sio mimi.
Kuna mmoja nilijilipia wakati narudi akanirudishia pesa yangu......Miaka imepita
Oh thank God am done with african men. Ingawa hao wacha nilowahi kuwa nao sikuwa kujuta kivile.......anyway