Mapenzi ya mtandaoni yameniangushia kwa binti mwenye ulemavu, hakika huyu ndiye chaguo la moyo wangu

all the best bro make sure humchezei tu
 
Amenifukuza kwenye Uzi wake. Ngoja nisicomment. Ila najua alinielewa [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji28] kitendo cha kumuanzishia uzi na kuelezea maumbile ya mwenzake tayari ni "shida".

Vinginevyo angekaa kimyaa tu maana inaonekana kama amempa msaada...

Yote kwa yote miili yetu sisi wanadamu ni haribifu, muda wowote kiungo chochote kinaweza kufa kama sio kufa kabisa mwili mzima.
 
Safari njema.
 
Ni suala la muda tu ila sisi sote ni walemavu watarajiwa, kama unampenda kweli wewe kunjua moyo na uyaache mapenzi yafuate mkondo wake.
 
Kila la heri mkuu, hata mlemavu Ni binadamu Kama wengine na anahaki ya kupenda na kupendwa.
 
Ni kama umepanic baada ya kutokumwelewa kipenzi Analyse .......kulalamika alimaanisha yaan ni km unalalamika juu ya kumpenda binti mwenye ulemavu, au ni kama haujalalamika vile......
Kama nilimwelewa ama sikumwelewa, sikutaka yawe makubwa, nikaomba hisani yake, aendelee na shughuli zake nyingine za ujenzi wa taifa. Kwani kuna tatizo?
 
Hongera, kila lakheri zisiwe nyege tu ndo zinakufanya umpende alafu baadae umuache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…