Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kumuoa kama huruma kwake?Kama vile hulalamiki, ila unalalamika.
Anyway, kila la kheri kwenu
Wao huwa hawanaga huruma. Yaani hawi na mtu kwenye mahusiano kisa Cha huruma. Na ndio Mana wakishapata mahala pazuri kukuacha yaani Ni within picosecond.Kwa muda mrefu nimekuwa mpweke ila siku za karibuni kwenye mtandao nikawa niko busy na dada mmoja mzuri sana.
Basi tukaona kuna haja ya sisi kuonana kwani niko Dar na Yeye yuko Dar. Tukapanga kukutana naye Slipway.
Ijumaa jioni baada ya saa za kazi nikawa nimepiga kambi Waterfront Bar, nikaangiza kinywaji changu huku nikimsubiri mrembo.
Haikuchukua muda mrefu, angaingia msichana mrefu mweupe. Nikamkaribisha kwa hug moja matata sana.
Ule ulemavu wa mkono wake uliokatwa baada ya yeye kupata ajali, kwangu sijaona kwamba ni kasoro wala dosari. Nimeona ni chachu ya mimi kumpa moyo wangu wote, kumpenda zaidi na kumtunza kikamilifu.
Huyu binti sitaki nimuache, daima amekuwa akilini mwangu. Sijawahi kupenda namna hii.
Namuomba Mungu aliimarishe penzi letu hata tuufikie mwisho mwema
Mkuu, unaniuliza Mimi au aliyeleta mada?Unataka kumuoa kama huruma kwake?
Amiin mkuuNamuomba Mungu aliimarishe penzi letu hata tuufikie mwisho mwema
Na wewe usiwe na kifua cha ivo.......
Mzee wa kataa ndoa, umefata nn kwenye huu Uzi?😅😅😅Anakifua aina gani?
Kwani garden love yake ushawahi kuiona?
#YNWA
Nimecheka kifala sana hii asikimbie au siyoIkifika time ya kumchambisha usikimbie
Mzee wa
Mzee wa kataa ndoa, umefata nn kwenye huu Uzi?😅😅😅
😅😅😅😅 Au sio, lakini yy kamaanisha tofautiKuna Watu MNABAHATI humu..
Mnajulikana mpaka vifua vyenu vilivyo..!!!
#YNWA
🤣🤣🤣ðŸ¤Kama vile hulalamiki, ila unalalamika.
Anyway, kila la kheri kwenu
Kama umempenda huna haja ya kutaka hata ushauri. Kipendacho moyo dawa mwanangu. Ila uangalie mambo mengi zaidi ya sura na ulemavu. Wapo wengi wana ulemavu usioonekana kirahisi kama vile tamaa ya pesa au wale vijikabila vinavyopenda kufanya uzinzi na kila ndugu eti kwa kudumisha mila.Kwa muda mrefu nimekuwa mpweke ila siku za karibuni kwenye mtandao nikawa niko busy na dada mmoja mzuri sana.
Basi tukaona kuna haja ya sisi kuonana kwani niko Dar na Yeye yuko Dar. Tukapanga kukutana naye Slipway.
Ijumaa jioni baada ya saa za kazi nikawa nimepiga kambi Waterfront Bar, nikaangiza kinywaji changu huku nikimsubiri mrembo.
Haikuchukua muda mrefu, angaingia msichana mrefu mweupe. Nikamkaribisha kwa hug moja matata sana.
Ule ulemavu wa mkono wake uliokatwa baada ya yeye kupata ajali, kwangu sijaona kwamba ni kasoro wala dosari. Nimeona ni chachu ya mimi kumpa moyo wangu wote, kumpenda zaidi na kumtunza kikamilifu.
Huyu binti sitaki nimuache, daima amekuwa akilini mwangu. Sijawahi kupenda namna hii.
Namuomba Mungu aliimarishe penzi letu hata tuufikie mwisho mwema