Mapenzi ya mtandaoni yameniangushia kwa binti mwenye ulemavu, hakika huyu ndiye chaguo la moyo wangu

Mapenzi ya mtandaoni yameniangushia kwa binti mwenye ulemavu, hakika huyu ndiye chaguo la moyo wangu

Nauhakika mapenzi yako sio timilifu. Nakwambia ukweli mkuu umevutiwa na muonekano wake alivyojaaliwa na Mungu ila ukimtazama machoni kwako ile kupotelewa na kiungo chake kimoja kunakupotezea hali ya kujiamini.
Nakushauri ujipe muda wa kutafakari kabla mahusiano yenu hayajaota mizizi zaidi. Vinginevyo ukiamua kweli uamue mazima usije ukamuumiza dada wa watu make yeye atakupenda kwa dhati na kukuamini. Hofu yangu usije ukamtenda huko mbeleni kwa maneno yenye masimango hasa juu ya ulemavu wake utakuwa umemuumiza sana.

Kila la heri mkuu!
 
Nyege tu zinakusumbua, ukisha mvua chupi mara mbili tatu, utakuja na story nyingine. All the best
 
Kwa muda mrefu nimekuwa mpweke ila siku za karibuni kwenye mtandao nikawa niko busy na dada mmoja mzuri sana.

Basi tukaona kuna haja ya sisi kuonana kwani niko Dar na Yeye yuko Dar. Tukapanga kukutana naye Slipway.

Ijumaa jioni baada ya saa za kazi nikawa nimepiga kambi Waterfront Bar, nikaangiza kinywaji changu huku nikimsubiri mrembo.

Haikuchukua muda mrefu, angaingia msichana mrefu mweupe. Nikamkaribisha kwa hug moja matata sana.

Ule ulemavu wa mkono wake uliokatwa baada ya yeye kupata ajali, kwangu sijaona kwamba ni kasoro wala dosari. Nimeona ni chachu ya mimi kumpa moyo wangu wote, kumpenda zaidi na kumtunza kikamilifu.

Huyu binti sitaki nimuache, daima amekuwa akilini mwangu. Sijawahi kupenda namna hii.

Namuomba Mungu aliimarishe penzi letu hata tuufikie mwisho mwema
Pye pye pye nyiiingi!
Ushagonga sasa!
 
Kwa muda mrefu nimekuwa mpweke ila siku za karibuni kwenye mtandao nikawa niko busy na dada mmoja mzuri sana.

Basi tukaona kuna haja ya sisi kuonana kwani niko Dar na Yeye yuko Dar. Tukapanga kukutana naye Slipway.

Ijumaa jioni baada ya saa za kazi nikawa nimepiga kambi Waterfront Bar, nikaangiza kinywaji changu huku nikimsubiri mrembo.

Haikuchukua muda mrefu, angaingia msichana mrefu mweupe. Nikamkaribisha kwa hug moja matata sana.

Ule ulemavu wa mkono wake uliokatwa baada ya yeye kupata ajali, kwangu sijaona kwamba ni kasoro wala dosari. Nimeona ni chachu ya mimi kumpa moyo wangu wote, kumpenda zaidi na kumtunza kikamilifu.

Huyu binti sitaki nimuache, daima amekuwa akilini mwangu. Sijawahi kupenda namna hii.

Namuomba Mungu aliimarishe penzi letu hata tuufikie mwisho mwema
Weka picha
 
Kwa muda mrefu nimekuwa mpweke ila siku za karibuni kwenye mtandao nikawa niko busy na dada mmoja mzuri sana.

Basi tukaona kuna haja ya sisi kuonana kwani niko Dar na Yeye yuko Dar. Tukapanga kukutana naye Slipway.

Ijumaa jioni baada ya saa za kazi nikawa nimepiga kambi Waterfront Bar, nikaangiza kinywaji changu huku nikimsubiri mrembo.

Haikuchukua muda mrefu, angaingia msichana mrefu mweupe. Nikamkaribisha kwa hug moja matata sana.

Ule ulemavu wa mkono wake uliokatwa baada ya yeye kupata ajali, kwangu sijaona kwamba ni kasoro wala dosari. Nimeona ni chachu ya mimi kumpa moyo wangu wote, kumpenda zaidi na kumtunza kikamilifu.

Huyu binti sitaki nimuache, daima amekuwa akilini mwangu. Sijawahi kupenda namna hii.

Namuomba Mungu aliimarishe penzi letu hata tuufikie mwisho mwema
Picha yake tafahali, ikiwezekana utuwekee hata na baiskeli yake anayoendesha tuipime machoni mwetu.
 
Back
Top Bottom