Mapenzi ya mtandaoni yameniangushia kwa binti mwenye ulemavu, hakika huyu ndiye chaguo la moyo wangu

Wao huwa hawanaga huruma. Yaani hawi na mtu kwenye mahusiano kisa Cha huruma. Na ndio Mana wakishapata mahala pazuri kukuacha yaani Ni within picosecond.

Hypergamy is baked into the female brain. It works ruthlessly and swiftly. If she sees a better option, she won't hesitate to jump from her current branch to a higher branch,
 
Hongera mkuu..ubarikiwe sana..Mungu akawape furaha daima
Unaona yule dada alieolewa na yule kaka anaetembea kwny wheel chair yani kiuno chini hawezi lolote but still ameolewa na wanaishi kwa raha nawafatilia instagram yao...Mungu anabariki na kuongeza kipato chao..na wana mtoto by now..so kila kitu kinawezekana...ni UPENDO TUU.....
 
Hongera na kila la kheri
 
Ishi nae tu, kikubwa upendo. Siku hizi kuna viungo vya bandia vya miili ya binadamu. Mkijaaliwa kuupata mkono mapenzi yatakuwa mara mia. Mungu awatangulie...[emoji120][emoji120]
 
Reactions: y-n
Tusiwe tunasema bas tukionana,tuwe tunasema tukioana au tusiseme kabisa
 
Kama umempenda huna haja ya kutaka hata ushauri. Kipendacho moyo dawa mwanangu. Ila uangalie mambo mengi zaidi ya sura na ulemavu. Wapo wengi wana ulemavu usioonekana kirahisi kama vile tamaa ya pesa au wale vijikabila vinavyopenda kufanya uzinzi na kila ndugu eti kwa kudumisha mila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…