Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,496
- 7,162
Umeongea kitu kikubwa sana kwa mtu anaye weza kugundua hilo...Mshukuru sana Mungu alimchagua yule kijana awe ni sababu ya wewe kufanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea kitu kikubwa sana kwa mtu anaye weza kugundua hilo...Mshukuru sana Mungu alimchagua yule kijana awe ni sababu ya wewe kufanikiwa
Wewe kanjibahi una maneno kama umezaliwa Mwanerumango!!Ni kweli. Kwenye msafara wa mamba mijusi haikosekani
Jamani basi nitaacha kuandika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe kanjibahi una maneno kama umezaliwa Mwanerumango!!
Jamanii usitaniwe hata kidogo!!Jamani basi nitaacha kuandika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utani unaofanana na ukweli?Jamanii usitaniwe hata kidogo!!
Ahahah acha hizo Kanji!!Utani unaofanana na ukweli?
Teh teh tehAhahah acha hizo Kanji!!
Enjoy aseeTeh teh teh
New heading: Headboy akivyokula tunda kimasiharaHabari waungwana,
Nawasimulia kwa ufipi kisa changu cha mapenzi ya utotoni ila naanzia nyuma kidogo.
Nilipokuwa kidato cha pili nilikiwa naendela vyema tu na masomo japo sikuwa nafaulu sana, nilikuwa mpole sana na mkimya mno. Siku moja Mwalimu
Ni watu wenye upeo wa mbali sana ndio wanaweza kuelewa, huenda angempuuza yule kijana angeishia kuwa mama lishe.Umeongea kitu kikubwa sana kwa mtu anaye weza kugundua hilo... ...
Ahahaha ulianza mapema kupiga misamba!Kooooote tunafanana except pamoja.
Kufariki kwa R.
Ilikuwa like nasoma my story
Mimi pia nilipata binti nikiwa form 4.
And well, I married the guy.
Nimesoma kwa hisia sana.
Hahaaaaaa kimasikhara tena!New heading: Headboy akivyokula tunda kimasihara
Mkuu samahani why unatumia avatar ya Tz One..?!Mkuu samahani. Why unatumia avatar ya Queen of the South??
Amina, Mungu anikuzieWow!! Mie huwa mzito sana kusoma story ndefu humu ndani ila hii imenivutia sikutaka kuikatiza. Pole sana mama nafahamu uchungu ulio nao, ila Mungu ni mkuu. Angalau unayo copy ya R wako, na Mungu akukuzie vyema.
Ukiweka chote wanasema mkeka... ndio maana usomaji wa vitabu ni changamoto kwetu.. ...Hivi ndivyo inavyotakiwa sasa, ukiwa na kisa chako weka hapa chotee. Hatutaki habari za itaendelea .. anyway pole na hongera kwa yote uliyopitia ..
Jiangalie na wewe usitake huruma kupindukia kwa kuyaishi maisha yaliyopita.... Mtizame vyema isije kuwa ya nyumba ya ghorofa haikai kuku...mjusilizard Hongera sana kwa kupata wa kukuoa am
Aliyenioa hajui story ya R kwa ukamilifu maana mimi sikutaka kumhadithia full story, na hata vipande vya story alihadithiwa na mama na ndugu zangu.
Anachojua ni kuwa nilibeba mimba shule, na aliyenipa alifariki basi. Sikua na uwezo wa kuhadithia nilikuwa nikisikia hata mtu anaitwa jina nalia so sikua na story kabisa zinazohusu huyo R.
Ni yule yule mjeda ndie anayetarajia kunioa.
Unaezaje kufunga ndoa ya pili,mbona Mimi nimeshindwa !Asante, huyu mwanaume wa ndoa nilisha achana nae nipo na mwanaume mwingine ambaye mwakani tunafunga ndoa