Mapenzi ya Warundi na Mercedes Benz

Sauz pia huwez kuleta mtumba mule.
Yeah, hairuhusiwi kwa sababu ya kulinda viwanda vya ndani.

Sharti la kwanza, lazima uanzishe kiwanda South Africa, pili lazima wasouth wamiliki hisa kwenye hicho kiwanda.

Jamaa wako very strict kwenye kulinda soko lao la ndani. Imports ni kama hakuna za magari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…