BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Nachofikiria ni kuwa kampuni ya utengenezaji magari makubwa Mercedes Benz kwenye ripoti zao watakuwa wanaitambua nchi ya Burundi kama one among their potential customers.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado yupo na 682 zake. ..hataki mambo yenu hyo ya kisasa..hahaHivi Omary Awadhi bado yupo barabarani?
Yupo na Faw zakeHivi Omary Awadhi bado yupo barabarani?
Matajiri wa Tanga hela wanazipatia source gani? Hamna Kilimo cha maana madini wala utalii huko.Hivi Omary Awadhi bado yupo barabarani?
Nakumbuka mbaula zake 👍Hivi Omary Awadhi bado yupo barabarani?
Awadh wa moro na tanga ni tofauti?Matajiri wa Tanga hela wanazipatia source gani? Hamna madini Wala utalii huko
Tanga mji wa michakato mingi, magendo, kupitia horohoro na mombasa, mrungi, madawa, tenda za viwandani, biashara kati ya tanga na pemba plus comoro, michakato pale mingi mnoMatajiri wa Tanga hela wanazipatia source gani? Hamna madini Wala utalii huko
South Wana viwanda vyao ndio wanauzia nchi jirani kama Zimbabwe, Namibia na nchi jirani.Matajiri wa bongo wameambukiza hizo nchi zote waingie Kwa mchina....nchi ambazo bado wanatumia malori ya wazungu ni south Africa,Angola,namibia na Zimbabwe
Ubavuni kama kaandika address ya Tanga vile.Awadh wa moro na tanga ni tofauti?
Sauz pia huwez kuleta mtumba mule.South Wana viwanda vyao ndio wanauzia nchi jirani kama Zimbabwe, Namibia na nchi jirani.
Yule wa moro nadhan nilikua nakutana nae sana kcb moro, akiingia wanampa kwanza chai, mcheshi sanaUbavuni kama kaandika address ya Tanga vile.
Yeah, hairuhusiwi kwa sababu ya kulinda viwanda vya ndani.Sauz pia huwez kuleta mtumba mule.