Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Wakuu , mchumba wangu wa zamani alioa zenji.
Hakuachana hadi Leo.
Rafiki zangu wameoa Zanzibar wote hadi naleo hawajaachana .
Tujuzeni mapenzi ya Zanzibar yakoje?
Yapojee?
Maana sio wakutuchukuliwa waume kihivyo.
Hakuachana hadi Leo.
Rafiki zangu wameoa Zanzibar wote hadi naleo hawajaachana .
Tujuzeni mapenzi ya Zanzibar yakoje?
Yapojee?
Maana sio wakutuchukuliwa waume kihivyo.