Ni natural instinct ya mwanadamu, hata uwe gaidi kiasi gani hauwezi kuepuka. Upweke usikie tu, ndio maana watu wananunua kampani kama vifurushi mwishowe pesa zinawaisha.Bado tu mnawaza kupenda na kupendwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Achana Ukorea utaumia. Zile movies tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] psiii psiii ishia hapo
anashabikia Man_U
Mshkuru mungu kakuokoa Toka kwa kiumbe Cha ajabu.
#Usirudi
Saana [emoji419]She is gone bro!! Be a man,grow some balls little nigger and move on!
She ain't urs now bro,there must be some nigger doin her!! Achana nae,kuendelea kulia Lia ni kujidhalilisha.
Asonge mbele tu hayo mambo mengine ni kujidhalilishaPolee mkuu najua vile unafeel, i got the same situation nikasema nitafute wanawake tofauti ili nimsahau but bado ni ngumu, jaribu kumchek anaweza rudi usikate tamaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] punguza kusema ukweli basiiKarudi kafikia kwa kidume anapelekewa moto ile mbaya na kakolea kinoma..anakuonea aibu tu kukuchana ukweli.. so wewe endelea tu na harakati zako..huyo demu kesha kupiga chini kitambo.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukome kuigiza mapenzi, alafu punguza maneno mengiii hata ktk mapenzi na kwingineko ww si mwanaume au mvulana?
Kama mwanaume kazi ya mwanaume ni kutafuta, so tafuta pisi kali ziko nyingi mno, na songa mbele, hukuwa na ndoa nae, songa mbele, be a man, acha kelele humu, sio kila kitu unaomba ushauri, ushauri gani tukupe sisi mtu hatumjui, au hatujui kisa cha ww kukukimbia, tunajuaje ni ww ndio una makosa, ukweli unaujua ww na yeye tu, nini kilitokea, kama ni ku fix ni nyie wawili tu, sisi unatusumbua humu bure, ebu show ur maturity.
[emoji16]Uzungu mwingi,ndo Mana utachelewa sana,punguza vigezo vya kizungu upo bongo
Be a man bwana Jipende aiseeedid you just quote chris brown
haina shida, sawa kamanda
Saana [emoji16]Ili uishi kwa amani , hii application ni muhimu !
Man down! Man Down! I repeat!!!Mwaka mzima namsubiri aje lakin kaingia nchini kimya kimya bila hata kuniambia, kweli!
Mwanzon kabisa it was great. We had so much in common...we shared the same taste in everything music, movies, she loves karaokee though she’s bad at singing, she likes art and i love arts, we were the perfect combination
At first it felt like a dream you know, finding a missing puzzle piece, i felt complete, I can’t speak for her but i was happy as they come. untill when she went back to school, abroad
Ikawa Long distance sasa hapo nilikuwa najitahid relationship iwork, the time difference sikujali nilikuwa nakaa macho usiku wa manane ili tuongee
Akaniambia anakuja huu mwezi nikimuuliza lini hasemi tarehe specific anakwambia “soon tu”🥺
Nakuja kutambua kafika DSM kakaa kimya wakati tulikubaliana nimpokee anavyokuja yote hayo yakawa hayafai na nimegundua kwa kumchunguza kupitia Instagram kuona insta live anafurahia na wenzie
Nikiwasiliana nae anadanganya anasema hajafika nikamwambia kafika na nafahamu kwahiyo nimuone wapi akasema kwao zaman kahama sijui wanaishi kama Nomads bla blah!
Kifupi she’s blowing me off but i fucking love her, Nikimwambia anasema she’s not ready kukutana eti anadeal na some personal stuffs nkimwambia awe anafanya sharing nimsikilize anasema hayuko tayari
Kibaya kinachonitisha nitaipata wapi connection na mwanamke kama ile, we were “The couple” she was everything I ever wanted, tulikuwa tunaongea lugha moja she was wild and adventurous AF, I loved that about her lakin sasa nipo nipo tu
Najua kuna watu watasema Man-down, sawa ila nachowaza tu “nitampata wapi kama yule” uzuri ni kigezo ila somehow si kigezo maana wapo wengi damn it. lakini personality ndio tatizo nikikumbuka the sex
Imagine she freaking love comedy movies, anasikiliza Hip-hop anawakubali imagine dragons anaangalia animations ni shabiki wa Man u 🥺 and she loves nature, nilifikiri she was The one
No this ain’t over yet, our story doesn’t have to end this way... i need a freakin’ happy ending
Kabla haujasamehe usaliti kumbuka ilitoka akairudisha ndani yeye mwenyewe
😂😂😂🙌🏽 aisee sihami JFNa akasema baby nakojoooooooaaaaaaaa
Unahama tu,hakuna kinachodumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1430] aisee sihami JF
Hahahahaha aiaee huo mstari wa plato ni wa kweli?Tafuta vitu vingine vya kufanya mkuu
Nmekuja kumuelewa plato kuwa Love is a serious mental disease
aisee!! Ni huzuni kwakweli ukizingatia maisha yalivyo magumu aah yani kwakweli ni huzuni mno
Kama mwanamke wa jana aliekuomba pesa hajadumuUnahama tu,hakuna kinachodumu