Kuna mwana anapiga ,na ndiye aliyempokea AirportMwaka mzima namsubiri aje lakin kaingia nchini kimya kimya bila hata kuniambia, kweli!
yafai na nimegundua kwa kumchunguza kupitia Instagram kuona insta live anafurahia na wenzie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mwana anapiga ,na ndiye aliyempokea AirportMwaka mzima namsubiri aje lakin kaingia nchini kimya kimya bila hata kuniambia, kweli!
yafai na nimegundua kwa kumchunguza kupitia Instagram kuona insta live anafurahia na wenzie
Wacha kufosi mambo,hupendwi.Mwaka mzima namsubiri aje lakin kaingia nchini kimya kimya bila hata kuniambia, kweli!
Mwanzon kabisa it was great. We had so much in common...we shared the same taste in everything music, movies, she loves karaokee though she’s bad at singing, she likes art and i love arts, we were the perfect combination
wacha kufosi mambo,hupendwi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama mwanamke wa jana aliekuomba pesa hajadumu
Kwa hiyo imeshageuka dhihaka sasa[emoji52]Kama mwanamke wa jana aliekuomba pesa hajadumu
Kama DECI vile[emoji4]Mapenzi ni upatu ndugu yangu.
Hilo shamba linamilikiwa na mwingine na ndiye aliyempokea.
Pole sana.
Hata DECi waliotangulia walifaidi lakini mapenzi yameanza kuumiza binadamu wa kwanza🤣🤣Kama DECI vile[emoji4]
Kweli ndioHahahahaha aiaee huo mstari wa plato ni wa kweli?
Kwa hiyo imeshageuka dhihaka sasa[emoji52]
Kwan man u wamefanyaje🤣🤣🤣🤣🤣🤣 psiii psiii ishia hapo
anashabikia Man_U
Mshkuru mungu kakuokoa Toka kwa kiumbe Cha ajabu.
#Usirudi
Sasa si kawa shetan Kama walivyo Man_UKwan man u wamefanyaje🤣🤣🤣
😂😂😂DahSasa si kawa shetan Kama walivyo Man_U
Amekwisha ndg yetu😂😂😂Dah