hayo ni madhara ya watu kama nyie kujidai kichwa cha nyumba, sasa cndio kichwa kinakuwa kichwa.
haaaa...ndoa ndoa, Fidel miteremko kama hii ndio anaipenda sasa.
hapo tutaenda sawa hata ukienda msalani ukiona uvivu kujiswafi we niite tu mama fulani we njoo huku uniswafi
Hebu piga makofi huoni hapo juu nimesha weka wazi nataka nitangaze nia kabisa
maty wewe hazimo....lol, nimecheka mpaka machozi jamani, hayo mapenzi yako ya kimwambao kweli.
Hata maandiko matakatifu yanabainisha mwanaume ndie kichwa cha familia...umewahi ona wapi mwanamke anatoa talaka? mwanamke anaomba talaka hatoi talaka.
Maty anafaa kuolewa na mm huyu tunaendana mwenye pingamizi atanabaishe lakini wenye wivu kama wewe mtaanza mizengwe yenu nawajua sana
Mbona kwenye pasi inakuwa ngumu sasa:becky:
maty wewe hazimo....lol, nimecheka mpaka machozi jamani, hayo mapenzi yako ya kimwambao kweli.
hayo ni madhara ya watu kama nyie kujidai kichwa cha nyumba, sasa cndio kichwa kinakuwa kichwa.
Ole wako nikukute umekaa na njemba mezani patakuwa hapatoshi
mwanaume kichwa cha nyuma halafu mwanamke shingo ya nyuma, kifuatacho sasa shingo ndo iongoze kichwa:confused2: duh!!!
Afadhali umejisema " AIKAA MAEE"
:becky::becky:
Mie huwa naacha bunda zima la kipato kwake na salary slip nampa :becky::becky: nategemea biashara zangu katika mahitaji yangu mengine:becky::becky: