Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
hayo ni madhara ya watu kama nyie kujidai kichwa cha nyumba, sasa cndio kichwa kinakuwa kichwa.
Hata maandiko matakatifu yanabainisha mwanaume ndie kichwa cha familia...umewahi ona wapi mwanamke anatoa talaka? mwanamke anaomba talaka hatoi talaka.