Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
- Thread starter
- #21
Kabisa,
Binafs nna miez 2 hatujazinguana kidogo na shemej yako.
Naona
Amekaa kizembe zembe sana,nyumba imepoa.
Nipe wazo mkuu,
Nimtaftie kosa gani leo hii ili mradi tu tuzinguane kidogo leo achangamke changamke kidogo.
Mbinu mojawapo ni kumgombeza anafua nguo zako vibaya ndio maana kadeti zako zinapauka kazi kuchati tu ovyo na watu ambao huna imani nao na mwenendo wake hauelewielewi [emoji28][emoji28]