Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #241
Pamoja sanaYes bro naifatilia nasoma chapter 2 sasa
Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sanaYes bro naifatilia nasoma chapter 2 sasa
Asante
Naisoma ya TatuPamoja sana
Tayari mkuuBrother Black Sniper Umesha Soma hapa??
[emoji15][emoji15][emoji31] mimi sio kakaBaadae Kaka,
Aisee, jamaa ni balaa ila makachero hao ni level nyingine maana wapo kila mahaliBrother Black Sniper, Umesha Soma hii??
Sorry aisee, kumbe We ni mdada 🤓🙏[emoji15][emoji15][emoji31] mimi sio kaka
Ni mbaya kweli, sema ali kiendekeza tu.Naisoma ya Tatu
Ila huyo jamaa kama alifanyiwa ukatili huo wote akiwa mdogo ni mbaya sana kwa afya yake
Nimeona wauwaji wengi walikuwa abused wakiwa wadogo
Na wanatetewa sana na kuishia kupelekwa hospital badala ya jela
Tupo mkuuWakuu nataka niendelee, Vipi mpo??
Ziko ngapi kwani hizo episodesKUTATABHETAKULE na Msela Wa Kitaa mmesha maliza episode zote?
Pale Segerea uingize pipa kifala hivyo, tena zaidi ya mara 3Kote ni tia maji tu mkuu.
Unauliza maiti mortuary?Wakuu nataka niendelee, Vipi mpo??
Vipi kama aliongea hivyo kwa ajili ya kujitetea ili apunguziwe kifungoNaisoma ya Tatu
Ila huyo jamaa kama alifanyiwa ukatili huo wote akiwa mdogo ni mbaya sana kwa afya yake
Nimeona wauwaji wengi walikuwa abused wakiwa wadogo
Na wanatetewa sana na kuishia kupelekwa hospital badala ya jela
zamaniiiKUTATABHETAKULE na Msela Wa Kitaa nlmmesha maliza episode zote?
Kweli hatuwezi kujua lakini kama wanataka ushahidi wa hayo ni rahisi kujua hospitaliniVipi kama aliongea hivyo kwa ajili ya kujitetea ili apunguziwe kifungo
Hatuna ushahidi wa yale aliyotendewa udogoni mwake.
Dah mahakamani huwa kuna mkanganyiko sana
Hilo ndio tatizoNi mbaya kweli, sema ali kiendekeza tu.
Dawa ni Kumuhukumu kunyongwa tuKweli hatuwezi kujua lakini kama wanataka ushahidi wa hayo ni rahisi kujua hospitalini
Kwa kuwa kesi iko SA basi wao ndio waamuzi ila ni maamuzi magumu
Hafai kuwa katika jamii kabisa huyu maana hataacha kuuwa
Yap, ni mbinu ya kuji tetea tuVipi kama aliongea hivyo kwa ajili ya kujitetea ili apunguziwe kifungo
Hatuna ushahidi wa yale aliyotendewa udogoni mwake.
Dah mahakamani huwa kuna mkanganyiko sana