ebooo. ni kipi ulichompendea sana wanawake wengine hawana?
mkuu jipe ujasiri kama mm. mm demu juzi kanambia et kwanini simpi hela na kumsaidia, mm nikamwambia hali unayoniona ni ya kumsaidia mtu mwingine kweli??? akaniambia eti kuna binti nitakuwa namsaidia[emoji16], nikamwambia umekosea, sina mwingine zaidi yako. na kiukweli sikuwa na mwingine zaidi yake, sipendagi kuchezea hisia za mtu nisiyekuwa na interest nae. Basi nikamwambia pole kwa kuwaza vbaya ila sina cha kukusaidia ndiyo maana sikusaidii. tukavutana kidg nikamwambia tu simple, "sijawahi kulala nawe, sijawahi shika kiungo chako chochote ila nimetumia muda wako, nisamehe kwa suala la muda tu. Saiz nakupa uhuru tafta watakaokusaidia na kukuhudumia vzr maisha ni mafupi sana, enjoy ur good time" basi nikamwambia tusitafutane tena abaki na 50 zake. mpk sasa hii ni ck ya 5 hatujawasiliana nae. nikimkumbuka mwili wasisimka but nabaki normal kuwa hakuwa chaguo lng, masikini kudate na pisi kal alafu huna hela, ni mateso tu.
Kuwa jasiri mkuu, move on. Huyo ni malaya kama malaya wengine. mpk now unafahamu ana kijeba huko kijijin kwao, je sehemu zingine unajua hana au anao anaowapanga kama wewe? Amka Shituka