Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 680
- 1,306
- Thread starter
-
- #81
Kwa kifupi wewe ni falaCha kushangaza kanambia Mimi ndo nimemkuta jamaa
[emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anaona future pande zote bado upo dogo
Nyie wote mazoba atatokea mwingine ataona pia future.
Mnachunwa tu
We dogo inaonekana ni mfupi sana halafu huna hela, ...soma,maliza,tafuta hela then anza michakato ya kuoa 99% ya mapenzi a chuoni huishia chuoni.Habari yenu wana jamvi!
Natumai mu wazima wa afya.
Nisipoteze Muda iko hivi
Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa
Ninampenda & analifahamu Hilo.
Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki) .
Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.
Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana.
Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia.
Nimemuuliza Kama ana future nae
Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).
Hebu nisaidieni wakubwa
Make Niko njia panda
Kumpenda nampenda sana.
Jf is my home where I can get every advice I need.
DuhKwa kifupi wewe ni fala
Ndio inatosha sasa.Amekutoa kwenye uzinzi tulia hapo hapo usubiri next instruction ila huyo piga chiniDaah
Binti kanitoa kwenye uzinzi sugu
Nimekaa sawa ndo yanatokea haya
[emoji120][emoji120]We dogo inaonekana ni mfupi sana halafu huna hela, ...soma,maliza,tafuta hela then anza michakato ya kuoa 99% ya mapenzi a chuoni huishia chuoni.
OkayNdio inatosha sasa.Amekutoa kwenye uzinzi tulia hapo hapo usubiri next instruction ila huyo piga chini
Anaigiza tu huyoNimejaribu kumwambia tuachane
Amelia mbele yangu kuwa hayuko tayali kwa Hilo
& Amesisitiza nisiombe ushauri kokote make anajua watanishauri vibaya
Sio hivo broWe dogo unatuinjoy hapa .
Au kwanini wewe ni mlugaluga toka wapi .
Nyie mnaotokaga huko vijijini kuja mjini kusoma vhuo huwa mnapagawa Sana na mapenzi
[emoji848]hapo chuoni wote ni wake za watu acha ujinga kasome wako utampata baadaye
kwanini umekuja kuomba ushauri sasa mbona kama huna mapenzi ya kweli na mkeoNimejaribu kumwambia tuachane
Amelia mbele yangu kuwa hayuko tayali kwa Hilo
& Amesisitiza nisiombe ushauri kokote make anajua watanishauri vibaya
ebooo. ni kipi ulichompendea sana wanawake wengine hawana?Mwenyewe nakwama hapo
Juzi kaninyima mzigo
Eti anaenda likizo hataki Jamaa ajue
Kama amefanya
Sawa mkuuebooo. ni kipi ulichompendea sana wanawake wengine hawana?
mkuu jipe ujasiri kama mm. mm demu juzi kanambia et kwanini simpi hela na kumsaidia, mm nikamwambia hali unayoniona ni ya kumsaidia mtu mwingine kweli??? akaniambia eti kuna binti nitakuwa namsaidia[emoji16], nikamwambia umekosea, sina mwingine zaidi yako. na kiukweli sikuwa na mwingine zaidi yake, sipendagi kuchezea hisia za mtu nisiyekuwa na interest nae. Basi nikamwambia pole kwa kuwaza vbaya ila sina cha kukusaidia ndiyo maana sikusaidii. tukavutana kidg nikamwambia tu simple, "sijawahi kulala nawe, sijawahi shika kiungo chako chochote ila nimetumia muda wako, nisamehe kwa suala la muda tu. Saiz nakupa uhuru tafta watakaokusaidia na kukuhudumia vzr maisha ni mafupi sana, enjoy ur good time" basi nikamwambia tusitafutane tena abaki na 50 zake. mpk sasa hii ni ck ya 5 hatujawasiliana nae. nikimkumbuka mwili wasisimka but nabaki normal kuwa hakuwa chaguo lng, masikini kudate na pisi kal alafu huna hela, ni mateso tu.
Kuwa jasiri mkuu, move on. Huyo ni malaya kama malaya wengine. mpk now unafahamu ana kijeba huko kijijin kwao, je sehemu zingine unajua hana au anao anaowapanga kama wewe? Amka Shituka