Mapenzi yanauma jamani

mtu haujamuoa unataka uwe peke yako na sisi unataka tukaponee wapi kwa mfanoooooo
 
yani mitoto hii ipewe mikopo irudi vyuoni..
mxiuuuuu
 
 
sasa mkuu mbona ananipenda sana na anasema hawezi kuwa na mwanaume mwingine zaid yangu,na nikikutana nae tunaposex kitu kinakuwa mnato kabisa

Hahaha...uaminifu ni tabia ya mtu tu kitu kinaweza kuwa mnato kwasbb ni maumbile yake tu yalivyo ila cha muhimu Muombe Mungu kama ni wa kwako atakuletea tu na atatulia na kama sio basi amtushe mbali.
 
Kama mpenzi ndio unaumia hivyo,mke si utachanganyikiwa kabisa wewe
 
Hahaha...uaminifu ni tabia ya mtu tu kitu kinaweza kuwa mnato kwasbb ni maumbile yake tu yalivyo ila cha muhimu Muombe Mungu kama ni wa kwako atakuletea tu na atatulia na kama sio basi amtushe mbali.

thank kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…