Mapenzi yanauma lakini kuna kale ka-feeling mkizama kwenye dimbwi la mapenzi

Mapenzi yanauma lakini kuna kale ka-feeling mkizama kwenye dimbwi la mapenzi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mimi sijawahi kuachwa, sina uhakika sana na uchungu wa kuachwa, lakini kupitia nyinyi nimejiridhisha kwamba mapenzi yanauma na matokeo yake ni kudhoofu afya na roho.

Pamoja na karaha zake asikwambie mtu mapenzi ni matamu sana. Utamu wa mapenzi hakuna maneno ya kutosha kuelezea. Kwa waliowahi kupenda mnaweza kurejea kumbukumbu zile nyakati za mwanzo. Kuna kale kafeeling mlikuwa mnakasikia mkiwa mmezama kwenye dimbwi zito la mapenzi.

Usiombe mkakutana wote wawili mnapendana. Hatari sana. Unaweza kuona dunia nzima hii wewe ndio mtu wa maana wengine wanapoteza muda tu. Am talking about emotions, intimacy, passion, and commitment.

Hata mkipigana show inakuwa show inayoambatana na hisia kali zisizoelezeka. Mnajikuta ni kama mpo dunia ya kwenu peke yenu. Labda mtu mwingine hapa.anaweza kuelezq vizuri zaidi.

Tatizo ni kufanya hisia hizi tamu ziendelee kuwa hai. Binadamu hawaaminiki, wako uncertain sana. Lakini kama trend ya mapenzi mazito ingekuwa maintained mpaka kufa, basi dunia ingekuwa nusu ya peponi.
 
Kuna mtu alichochea nikaachwa mwezi wa pili, nae kaachwa wiki moja imepita, nimekutana nae kakonda kawa kama muathirika asie tumia dose..yani yule wa hatua za mwisho mwisho yani ndani ya wiki kaisha pyuuu.. kaa mbali na mapenzi kaa mbali na kuachwa
 
Kinacho uma katika maisha yangu ni
FB_IMG_1720891808734.jpg
 
Tutajifanya wamba ila ukweli ni kwamba Mapenzi yana nguvu..

Mimi kuna mtoto wa mtu nimetokea kumpenda..ila moja haikai mbili haikai namuwaza yeye tu..she better say yes aisee otherwise nitaumia sana.
 
Kalee kafeeling kakujifunika shuka Moja na kumkubatia Kwa nyuma na kumpumulia maskionii aiseeeeeeee😋😋 alafu alikuwaga mweupeee


Eeeeehh kumbe naotaaa ...
ukikumbuka zile moments unahisi kuwepo jangwani peke yako.. alafu unashtuka usiku unajikuta peke yako wakati ulizoea mpo wawili.. mamumivu yake usipime.. ilikuwa ikifika jioni mida ile tuetoka job, asubuhi mda wa kuamka na mchana mtoto akirudi home ile kifamilia... maumivu yake sio ya kitoto
 
ukikumbuka zile moments unahisi kuwepo jangwani peke yako.. alafu unashtuka usiku unajikuta peke yako wakati ulizoea mpo wawili.. mamumivu yake usipime.. ilikuwa ikifika jioni mida ile tuetoka job, asubuhi mda wa kuamka na mchana mtoto akirudi home ile kifamilia... maumivu yake sio ya kitoto
Ndio hvyo mkuu 😂😂😂..

Sema nn ktk maishà hakuna Hali inayodumu Huwa n nyakati lazima mfumo ukupitishe uko Ili ufurahi na kuhuzunika Ili mfumo ukamilikeee...
 
Ndio hvyo mkuu 😂😂😂..

Sema nn ktk maishà hakuna Hali inayodumu Huwa n nyakati lazima mfumo ukupitishe uko Ili ufurahi na kuhuzunika Ili mfumo ukamilikeee...
Yasije nikute tena aisee.. maumivu yake usipime.. siku za mwanzo mwanzao.. nilihisi kama upande mmoja wa mwili haufanyi kazi , depresion nikisikia harufu ya chakula natapika.. week tatu kama nilikuwa motoni.. baada ya mwezi ndio nikaanza hata kula bila kutapika.. mtu sasa hivi nikimuona kwenye mambo ya mapenzi namtazama tu, ila sina hamu nayo wala kupenda sitaki tena
 
Back
Top Bottom