mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
Oyaa nikisikilizaga zile lyrics za bien kwenye 'niko sawa'-nviiri ft bien nadata;You're not alone
Na wanaume wa hovyo tupo pia tunamsubiria.Dah! Basi hao wanaokupiga matukio wanakupiga matukio madogo mpaka somo alikuingii
Mimi nilipigwa tukio la kwanza mpaka moyo wangu ukabadilika kutoka wa nyama hadi kua wa chuma.
Sasa hivi sijui mtu anifanyie tukio gani la kuniliza.
Uzuri ulionao, elimu, moyo, tabia njema na kazi unayomiliki haikufai kumng'ang'ania mtu anayekusumbua.
Uzuri wote huo halafu unamlilia mtoto wa mtu!
Ebu jikaze vaa vizuri nenda Sehemu nzuri yenye watu wa maana kapate msosi huku unapulizwa na upepo.
jinsi upepo utakavyokua unakupuliza ndivyo na wewe umpulize huyo mtu atoke ndani ya moyo na akili yako. Kuna wanaume wazuri wa maana wanakusubiria huku nje.π₯
itakua kipindi kile mlivoachanaga πKwani wewe ushawahi kuumizwa sweetheart... Hahaha
π€£π€£π€£Kuna mtu alichochea nikaachwa mwezi wa pili, nae kaachwa wiki moja imepita, nimekutana nae kakonda kawa kama muathirika asie tumia dose..yani yule wa hatua za mwisho mwisho yani ndani ya wiki kaisha pyuuu.. kaa mbali na mapenzi kaa mbali na kuachwa
πππHatar Umenikumbusha zamani nilikuwa naamka usiku naanza kuliaMdogo wangu, Mi itabidi nianze matibabu ya ugonjwa wa akili π
Mi kuanza kumpenda mtu na aanze kuniliza ndio jambo langu, mara 2 na sa hivi ya 3β¦. msiponishika soon naanza kulia kwa kwikwi huku nikibubujikwa (kama Lucas mwashambwa)
ππ
Hapo mother, alisema " ona huyu mjinga"πππHatar Umenikumbusha zamani nilikuwa naamka usiku naanza kulia
Siku moja mama anaamka kuswali alfajir anasikia kilio chumbani akaja akasimama mlangoni πππakaniangalia akasonya akaondoka ππ
Next time utalia machozi ya furaha.Mdogo wangu, Mi itabidi nianze matibabu ya ugonjwa wa akili π
Mi kuanza kumpenda mtu na aanze kuniliza ndio jambo langu, mara 2 na sa hivi ya 3β¦. msiponishika soon naanza kulia kwa kwikwi huku nikibubujikwa (kama Lucas mwashambwa)
ππ
Nakumbuka katika stori zako ulisema kipindi unasoma Moro kuna jamaa wa Sua alikuteka sana, ndo huyo Boss πππEendiwoooooo love. Uliniumiza sanaππ
ππNilikuwa mnyonge hatari Yan alikuwa ananiliza balaaππHapo mother, alisema " ona huyu mjinga"
ππ Na uzuri wote huo unakuta uliyekuwa unamlilia bwege tuπππππNilikuwa mnyonge hatari Yan alikuwa ananiliza balaaππ
Alafu alikuwa na kichogo Flan hiv nilikielewaπ€£π€£ππ Na uzuri wote huo unakuta uliyekuwa unamlilia bwege tuπππ
ππππ Maisha hayaAlafu alikuwa na kichogo Flan hiv π€£π€£
ππππππππ Maisha haya
So saivi ukimuona unaona kama ulikuwa una-date na Zombieπππππππ