Mapenzi yanauma lakini kuna kale ka-feeling mkizama kwenye dimbwi la mapenzi

Mapenzi yanauma lakini kuna kale ka-feeling mkizama kwenye dimbwi la mapenzi

Dah! Basi hao wanaokupiga matukio wanakupiga matukio madogo mpaka somo alikuingii

Mimi nilipigwa tukio la kwanza mpaka moyo wangu ukabadilika kutoka wa nyama hadi kua wa chuma.
Sasa hivi sijui mtu anifanyie tukio gani la kuniliza.

Uzuri ulionao, elimu, moyo, tabia njema na kazi unayomiliki haikufai kumng'ang'ania mtu anayekusumbua.

Uzuri wote huo halafu unamlilia mtoto wa mtu!
Ebu jikaze vaa vizuri nenda Sehemu nzuri yenye watu wa maana kapate msosi huku unapulizwa na upepo.

jinsi upepo utakavyokua unakupuliza ndivyo na wewe umpulize huyo mtu atoke ndani ya moyo na akili yako. Kuna wanaume wazuri wa maana wanakusubiria huku nje.🥂
Na wanaume wa hovyo tupo pia tunamsubiria.
Ajichanganye aone.
 
When it hurts like hell and you know you can't do this anymore and need to walk away, you won't do that, because you love. You love the person too much to just leave it all behind, you just can't. And that's love about.

Nicholas Sparks,
 
Hayo mambo nilikuwa nasikia pindi nilipokuwa mtoto. Maisha yamenikomaza sana sina hisia za "obsession" tena, wala siamini tena binadamu, hasa mwanamke ambaye anabadirika badirika hovyo zaidi ya kinyonga.

Nimegundua hakuna kitu kinaitwa mapenzi, bali ni vague definition ya seemingly uncontrollable obsession na kiumbe wa jinsia nyingine. Kama reinforcement from nature for the creature's survival. Ukigundua hili unakuwa free na hautosumbuliwa na hawa viumbe, alafu wanakuwa wanakuganda zaidi.

Kwa mtu mwenye akili na anayejitambua huko ni kupoteza muda na kujipa maumivu yasiyo na lazima. Ukiona anakidhi vigezo na masharti, unakamata unapasua then kila mtu apite kivyake.
 
Kuna mtu alichochea nikaachwa mwezi wa pili, nae kaachwa wiki moja imepita, nimekutana nae kakonda kawa kama muathirika asie tumia dose..yani yule wa hatua za mwisho mwisho yani ndani ya wiki kaisha pyuuu.. kaa mbali na mapenzi kaa mbali na kuachwa
🤣🤣🤣
 
Mdogo wangu, Mi itabidi nianze matibabu ya ugonjwa wa akili 😂

Mi kuanza kumpenda mtu na aanze kuniliza ndio jambo langu, mara 2 na sa hivi ya 3…. msiponishika soon naanza kulia kwa kwikwi huku nikibubujikwa (kama Lucas mwashambwa)

😆😆
😂😂😂Hatar Umenikumbusha zamani nilikuwa naamka usiku naanza kulia

Siku moja mama anaamka kuswali alfajir anasikia kilio chumbani akaja akasimama mlangoni 😀😀😀akaniangalia akasonya akaondoka 😂😂
 
😂😂😂Hatar Umenikumbusha zamani nilikuwa naamka usiku naanza kulia

Siku moja mama anaamka kuswali alfajir anasikia kilio chumbani akaja akasimama mlangoni 😀😀😀akaniangalia akasonya akaondoka 😂😂
Hapo mother, alisema " ona huyu mjinga"
 
Mdogo wangu, Mi itabidi nianze matibabu ya ugonjwa wa akili 😂

Mi kuanza kumpenda mtu na aanze kuniliza ndio jambo langu, mara 2 na sa hivi ya 3…. msiponishika soon naanza kulia kwa kwikwi huku nikibubujikwa (kama Lucas mwashambwa)

😆😆
Next time utalia machozi ya furaha.
 
Back
Top Bottom