Mapenzi yanauma nyie!

Nimecheka mno aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We umeoa mnigeria ama mlikutana gym
 
Kimeumana lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23] umekamatika, acha ujeuri!
 
Mapenzi yanauma???
Wee haujawahi kuweka chai ya maziwa jikoni, wakati unaandaa andaa mkate wako viblue band chai inachemkia na kumwagika yote...unaweza kaa chini uangue kilio
 
Mapenzi yanauma???
Wee haujawahi kuweka chai ya maziwa jikoni, wakati unaandaa andaa mkate wako viblue band chai inachemkia na kumwagika yote...unaweza kaa chini uangue kilio
Sasa mapenzi ni zaidi ya hicho..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…