Mapenzi yanauma nyie!

Kuna Mwanangu Mmoja kanambia amemtongoza Mdada Mmoja Hivi wakakutana Jana Sehemu Kwenye mazungumzo yule Dada akamwambia Hataki Mapenzi ya Kupendwa, amuite Mahali wanyanduane Maisha Yameisha, Anaamini hakuna mwanaume anaempenda
 
Kuna Mwanangu Mmoja kanambia amemtongoza Mdada Mmoja Hivi wakakutana Jana Sehemu Kwenye mazungumzo yule Dada akamwambia Hataki Mapenzi ya Kupendwa, amuite Mahali wanyanduane Maisha Yameisha, Anaamini hakuna mwanaume anaempenda
Aweke nambari za huyo mudada..😀
 
Eeeh pole ,kupigwa huko bado unampenda,endelea kumpenda
 
Nipe Mimi Mkuu Nikufundishie!! naanza na wewe kuwa huyo ndo mzuri huyo akikukalia sasa hapo si ndo patamu !! kwanza ndo inaingia hapo hapo kwa uzuriiii!!

Ile issue imekaa hapo hapo karibu na kalio ukigeuka tu imo!! Mbaaa!! sasa weye unalia msaada tuta!!! duuuu!! akiamuka hapo tu lazima atapike mda si punde !! ebu weka kapicha kidogo mkuu!!

Maweee msisismuko!!! Mpenzi mke akikupiga raha sana Wewe!! na ni nadra mnoo!! Mie natamani kila siku Eclat na Jokate mmoja wao anipige tu japo kibao!!! sasa mtu anatapika anaweza kupiga kweli???
 
Huo mtama ungempata sijuwi ingekuwa vipi.Siku nyingine usifanye mashambulizi kabla hujala.
 
Tatizo wanaume wa saivi mnadeka sana. Ujue mkuu mwanaume sifa kukaza amini kwamba. Sasa wewe unataka tu ubembelezwe sijui nini kufa tu mkuu macontower waruke nae kama vipi. Mapenzi, sijui kupenda my foot!! #emnikalale#
 
Tatizo wanaume wa saivi mnadeka sana. Ujue mkuu mwanaume sifa kukaza amini kwamba. Sasa wewe unataka tu ubembelezwe sijui nini kufa tu mkuu macontower waruke nae kama vipi. Mapenzi, sijui kupenda my foot!! #emnikalale#
Ma ma e
 
Mahusiano yakupigana hadi leo yapo? Uo muda sina wakupigana na mtu mwenye meno 32.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…