Mapenzi yanauma nyie!

Mapenzi yanauma nyie!

Kuna Mwanangu Mmoja kanambia amemtongoza Mdada Mmoja Hivi wakakutana Jana Sehemu Kwenye mazungumzo yule Dada akamwambia Hataki Mapenzi ya Kupendwa, amuite Mahali wanyanduane Maisha Yameisha, Anaamini hakuna mwanaume anaempenda
 
Kuna Mwanangu Mmoja kanambia amemtongoza Mdada Mmoja Hivi wakakutana Jana Sehemu Kwenye mazungumzo yule Dada akamwambia Hataki Mapenzi ya Kupendwa, amuite Mahali wanyanduane Maisha Yameisha, Anaamini hakuna mwanaume anaempenda
Aweke nambari za huyo mudada..😀
 
Hapa sijala nina siku saba!😭

Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo! Baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.

Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.

Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..😢
Eeeh pole ,kupigwa huko bado unampenda,endelea kumpenda
 
Hapa sijala nina siku saba!😭

Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo! Baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.

Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.

Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..😢
Nipe Mimi Mkuu Nikufundishie!! naanza na wewe kuwa huyo ndo mzuri huyo akikukalia sasa hapo si ndo patamu !! kwanza ndo inaingia hapo hapo kwa uzuriiii!!

Ile issue imekaa hapo hapo karibu na kalio ukigeuka tu imo!! Mbaaa!! sasa weye unalia msaada tuta!!! duuuu!! akiamuka hapo tu lazima atapike mda si punde !! ebu weka kapicha kidogo mkuu!!

Maweee msisismuko!!! Mpenzi mke akikupiga raha sana Wewe!! na ni nadra mnoo!! Mie natamani kila siku Eclat na Jokate mmoja wao anipige tu japo kibao!!! sasa mtu anatapika anaweza kupiga kweli???
 
Huo mtama ungempata sijuwi ingekuwa vipi.Siku nyingine usifanye mashambulizi kabla hujala.
 
Tatizo wanaume wa saivi mnadeka sana. Ujue mkuu mwanaume sifa kukaza amini kwamba. Sasa wewe unataka tu ubembelezwe sijui nini kufa tu mkuu macontower waruke nae kama vipi. Mapenzi, sijui kupenda my foot!! #emnikalale#
 
Tatizo wanaume wa saivi mnadeka sana. Ujue mkuu mwanaume sifa kukaza amini kwamba. Sasa wewe unataka tu ubembelezwe sijui nini kufa tu mkuu macontower waruke nae kama vipi. Mapenzi, sijui kupenda my foot!! #emnikalale#
Ma ma e
 
Mahusiano yakupigana hadi leo yapo? Uo muda sina wakupigana na mtu mwenye meno 32.
 
Back
Top Bottom