Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Jiandae kwa mateso siku kama ya leo miezi 3 mbeleni 🤣🤣🤣 abeg lazma uite maji mma.
Poleni mnaotendwa.
Mwenzenu wiki hii nina raha.
Kupendwa raha nyie.
Iam in love hadi siamini kama bado duniani kuna shida.

Luv isa byurifu tin😍😍😍
 
Sasa ushinde unabembeleza vitu vya kijinga vya nini, wakati wengine wanavyo vitraaamu kuzidi [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] utraaamu mpk kisogoni
Hahahah ishi kistaa 🤣
 
Badala ya kutumia akili we unatumia hisia. Acha dawa ikuingie.
 
Huyu si ndio uliyempokea hapa?
Kwanza asikudanganye, kule pm mimi na yeye ni wapenzi na ameahidi yuko tayari nikamtambulishe kwetu.

Akiongea maneno makali hapa ujue anawazuga tu🤣🤣🤣
Ila ana jambo lake November huyo una taarifa?🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…