Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Unasonga mbele kama injili😂Dah kwahio unafanyaje sasa 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasonga mbele kama injili😂Dah kwahio unafanyaje sasa 🤣
Uko vizuri kumbeWenzio tunatumia blanket chapa mtu [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Likikuacha unatafuta lingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shwenze type C 🤣🤣🤣Unasonga mbele kama injili😂
Uko vizuri kumbe
Poleni mnaotendwa.
Mwenzenu wiki hii nina raha.
Kupendwa raha nyie.
Iam in love hadi siamini kama bado duniani kuna shida.
Luv isa byurifu tin😍😍😍
Nakula Dona na mandondo😋, nikishiba nalala nasahau kama kuna kunjunjanaHebu nielekeze kibishi imekaaje kaaje
Hahahah ishi kistaa 🤣Sasa ushinde unabembeleza vitu vya kijinga vya nini, wakati wengine wanavyo vitraaamu kuzidi [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] utraaamu mpk kisogoni
Hio ndio matayo ngapi kwenye bible?🤣Nakula Dona na mandondo😋, nikishiba nalala nasahau kama kuna kunjunjana
We muhuni hizi vitu za wapendwa huwezi elewa🤣🤣Hio ndio matayo ngapi kwenye bible?🤣
😂😂😂😂😂🤭Wenzio tunatumia blanket chapa mtu [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Likikuacha unatafuta lingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We unacheka Nini🤣?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila ana jambo lake November huyo una taarifa?🤣🤣🤣Huyu si ndio uliyempokea hapa?
Kwanza asikudanganye, kule pm mimi na yeye ni wapenzi na ameahidi yuko tayari nikamtambulishe kwetu.
Akiongea maneno makali hapa ujue anawazuga tu🤣🤣🤣
AlooUmenikumbusha alivyonikunja jana.
Umefanya nitamani tena.
Daah!