Ni swala la wakati tu Chief..utakuja kukaa sawa ingawa itachukua muda.pole sana aisehKiukweli ni kama nimeharibika, maana ni kama nina ganzi fulani ambayo hata nikiwa na mtu sina wivu naye na naweza kuachana naye bila sababu.
Kuna logic fulani nimeipoteza kwenye mapenzi!
We nae..kwa kupenda kukuza mambo...πππmbona unatumia nguvu kubwa kujisafisha...
Si useme asante tuu nimwite shemeji wako wa kienyeji muyajenge
ππkwamba ukiona mambo hayaendi unayaacha unaenda weweπ€£π€£safi sanaIfike mahali mtu ukiona mapenzi yanakusumbua wala hujawah kusettle kwenye mapenzi ni kuachana na mapenzi na kufanya mambo mengine...kuna mengi ya kufanya kwenye maisha sio mapenzi tu...
Nimejaribu kutafakari kwa upana na maunga yake nikagundua yanaumiza mno.
Ohooo nilisahau kuwasalimu.Habari zenu.
Hebu huko na weweπππ€£π€£ππ€£ππ€£ππ€£π
Kipindi Mimi nakuambia kuhusu yule beki tatu wa safari lager ya kuwa niliumia alivyoondoka zake uliniona mimi Bata si ndivyo..?
Haya sasa naona jino limemtoka mwenye kujua maumivu! Kilichobaki sahivi ni kukusave ili usijinyonge dada yangu! Vumilia ndo maisha ya ubata hayo..π€£
π―π―π€π€ππNi kweli, kusamehe ni ngumu sana. Kuna wakati unaamini kua umesamehe mara ghafla maumivu/hasira vinarudi up ya.
Wengine kusamehe wanaona kama ni kuhalalisha ubaya uliotendewa lakini amini nakuambia, kusamehe kunamuweka mtu huru sana. Hilo la kua unaachana na mtu bila sababu ya msingi ni kwa ajili ya kutosamehe # Forgive and Let go#
Sasahivi ukisikilizia kwani yanauma tena? Si tayari umeshapata suluhisho βΊοΈKumbeee
Ni swala la wakati tu Chief..utakuja kukaa sawa ingawa itachukua muda.pole sana aiseh