May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Ushahidi unaonesha kuwa hata mapenzi yaanze kwa nguvu kubwa kiasi gani lakini bado kamwe hayatodumu na kubaki na nguvu hiyo hiyo kwa muda wote.
Inapotokea Wawili wamependana basi waingie makubaliano rasmi, kwa mfano wakubaliane kwamba wanahitaji uhusiano wao huo udumu kwa muda gani na iwapo basi baada ya muda huo kufika na wakaona bado wanahitajiana waingie makubaliano upya.
Kuwe na category za mapenzi, kwa mfano kama watahitaji Mtoto au Watoto au ni good time tu, kama Watahitaji kujumuisha familia zao au ni wao wawili tu, waainishe namna ya kuwatunza Watoto au Mtoto kama watapata, ikibidi kuwe kabisa na bima maalumu kwa ajili ya kuhakikisha elimu ya Mtoto/Watoto iwapo baadae kila mmoja ataamua kupita njia yake.
Ukifuatilia kwa makini hata kwa wale wanaoruhusu Ndoa za mitala mara nyingi Wanaume hutumia hiyo kama kichaka cha kuhalalisha kuwapa kisogo Wenza wao na kwenda kuanza mapenzi mapya...ni bahati mbaya sana hii humnufaisha Mwanaume zaidi na kumuacha Mwanamke njia panda.
Tunateseka kwa sababu tumekuwa Viumbe tunaopenda maisha ya kinafiki kupita kiasi, tupo tayari kusikia na kuishi uongo na tunauogopa ukweli...Mwenza wako anapokwambia anakupenda wewe jiulize atakupenda hivyo hivyo kwa muda gani?.
Mapenzi ya kudumu yabaki tu kati ya Watoto na Wazazi wao au Waumini na Viongozi wao wa kiimani, ie wanaoamini uwepo wa Mungu basi si mbaya kujiapiza huko lakini sio kwa Mwenza wako.
Hebu kaa chini usikilize wimbo kama huu wa "Lady in my life" wa Michael Jackson au nyimbo zote unazozijua zinazompamba Mwanamke na kumdadavua kama kitu cha thamani kuliko thamani yenyewe na bado huishia kulizwa, hivi ni Mwanamke gani asiyetamani kuambiwa maneno matamu hivi?...lakini swali kuu litabaki "Ni maneno ya kweli na ya kumaanisha?"...labda huenda ni ya kweli na ya kumaanisha lakini basi ni kwa wakati huo tu na haitokuwa hivyo muda wote.
LADY IN MY LIFE by MICHAEL JACKSON
"There will be no darkness tonight, lady our love will shine, Lighting the night, Just put your trust in my heart, and meet me in paradise, now is the time Girl, You are every wonder in this World to me, a treasure time won't steal away"
"So listen to my heart, lay your body close to me, let me fill you with my dreams, I can make you feel alright, and baby through the years, gonna love you more each day, so i promise you tonight, that you will always be the lady in my life".
Maneno kama haya hakika Mdada ukiambiwa utavimba kichwa, lakini jiulize itakuwa hivyo wakati wote au yata expire na yatahitaji kuambiwa tena mwingine?.
Wawili (Couple) muwe confortable kuambiana maneno yote matamu yaliyopo Duniani, kubembelezana, kudeka kwa kila mmoja lakini huku mkikubali kwamba hiyo halitobaki hivyo milele.
Inapotokea Wawili wamependana basi waingie makubaliano rasmi, kwa mfano wakubaliane kwamba wanahitaji uhusiano wao huo udumu kwa muda gani na iwapo basi baada ya muda huo kufika na wakaona bado wanahitajiana waingie makubaliano upya.
Kuwe na category za mapenzi, kwa mfano kama watahitaji Mtoto au Watoto au ni good time tu, kama Watahitaji kujumuisha familia zao au ni wao wawili tu, waainishe namna ya kuwatunza Watoto au Mtoto kama watapata, ikibidi kuwe kabisa na bima maalumu kwa ajili ya kuhakikisha elimu ya Mtoto/Watoto iwapo baadae kila mmoja ataamua kupita njia yake.
Ukifuatilia kwa makini hata kwa wale wanaoruhusu Ndoa za mitala mara nyingi Wanaume hutumia hiyo kama kichaka cha kuhalalisha kuwapa kisogo Wenza wao na kwenda kuanza mapenzi mapya...ni bahati mbaya sana hii humnufaisha Mwanaume zaidi na kumuacha Mwanamke njia panda.
Tunateseka kwa sababu tumekuwa Viumbe tunaopenda maisha ya kinafiki kupita kiasi, tupo tayari kusikia na kuishi uongo na tunauogopa ukweli...Mwenza wako anapokwambia anakupenda wewe jiulize atakupenda hivyo hivyo kwa muda gani?.
Mapenzi ya kudumu yabaki tu kati ya Watoto na Wazazi wao au Waumini na Viongozi wao wa kiimani, ie wanaoamini uwepo wa Mungu basi si mbaya kujiapiza huko lakini sio kwa Mwenza wako.
Hebu kaa chini usikilize wimbo kama huu wa "Lady in my life" wa Michael Jackson au nyimbo zote unazozijua zinazompamba Mwanamke na kumdadavua kama kitu cha thamani kuliko thamani yenyewe na bado huishia kulizwa, hivi ni Mwanamke gani asiyetamani kuambiwa maneno matamu hivi?...lakini swali kuu litabaki "Ni maneno ya kweli na ya kumaanisha?"...labda huenda ni ya kweli na ya kumaanisha lakini basi ni kwa wakati huo tu na haitokuwa hivyo muda wote.
LADY IN MY LIFE by MICHAEL JACKSON
"There will be no darkness tonight, lady our love will shine, Lighting the night, Just put your trust in my heart, and meet me in paradise, now is the time Girl, You are every wonder in this World to me, a treasure time won't steal away"
"So listen to my heart, lay your body close to me, let me fill you with my dreams, I can make you feel alright, and baby through the years, gonna love you more each day, so i promise you tonight, that you will always be the lady in my life".
Maneno kama haya hakika Mdada ukiambiwa utavimba kichwa, lakini jiulize itakuwa hivyo wakati wote au yata expire na yatahitaji kuambiwa tena mwingine?.
Wawili (Couple) muwe confortable kuambiana maneno yote matamu yaliyopo Duniani, kubembelezana, kudeka kwa kila mmoja lakini huku mkikubali kwamba hiyo halitobaki hivyo milele.