Mapigano yanayoendelea Gaza na unafiki wa Dunia

Mapigano yanayoendelea Gaza na unafiki wa Dunia

Kwa kusema hayo unajustify upuuzi unaoendelea Gaza. Umetiwa upofu na udini na hata unapojitahidi kuchomoka unarudi huko huko

Hakuna sheria inayowapa Hamas kufanya mauaji na uhalifu mwingine. Hakuna sheria ama kanuni inayowahalalisha Israel kuua watu wasio nasaba yao kwa kigezo cha kukalia maeneo yao kinguvu. Tatizo lako na wengine ni kwamba, kila anayehoji ni mpizani. Hao Waisrael unaowaona leo siyo wale unaoambiwa kwenye vitabu

Unaponipangia namna ya kuwasilisha hoja, ina maana moja tu! nayo ni upuuzi uliomezeshwa na CCM kuamini kwamba kila mtu anapaswa kuwaza sawa na wewe
Idiot
 
Duniani kote kila Bara kuna mapigano yanayoendelea huku kukiwa na ushawishi sifuri kwenye kusitisha hizo vita. Ninasema mapigano kwa sababu sehemu kubwa ya mapambano hayo yametokana na ushawishi wa makundi yanayolenga kufaidika na vita hizo. Kinachoendelea Ukraine na Urusi ni vita kamili kwa sababu pande zote wanaumizana na kila upande una uwezo wa kujibu mashambulizi ya kutoka upande hasimu. Anayelaumiwa hapo ni Urusi

pale Gaza, kinachoendelea siyo vita (kwa tafsiri yangu), bali ni mauaji ya halaiki ambayo yanadhaminiwa na Umoja wa Ulaya na Marekani kuisaidia Israel kuua watoto, wanawake na watu wa taifa la Palestina. Kwa nini nasema ni mauaji ya halaiki, ni kwamba Israel inatumia zana zote za kivita dhidi ya taifa ambalo kimsingi halijaingiza jeshi lake vitani. Hakuna zana wala kifaa chochote za kivita cha Taifa la Palestina zilizoingizwa vitani. Hakuna jeshi la Palestina lililopo mstari wa mbele kulinda mipaka yao ambayo inaingiliwa bila huruma na Israel. mauaji yanayoendelea yamejengwa kwenye dhana ya kupambana na ugaidi ambapo hata watoto na wanawake ambao kimsingi ni vulnurables kuwa wanawaficha magaidi. Ukiangalia ndani zaidi majuzi hapa Wafanyakazi wapatao 7 wa World Kitchen Centre wameuawa kwa kulengwa na vikosi vya Israel. Shirika hilo lenye makao yake makuu Marekani ndilo pekee lililosalia Gaza kutoa msaada wa kibinadamu ya chakula na maji safi. Hilo linajiri kwa sababu Israel imefunga mipaka ya kila kona kuzuia misaada ya kibinadamu kuwafikia Wapalestina waliokusanywa eneo la Kaskazini. Humu kwenye mitandao wamejaa washabiki wa kila namna bila kutafakari madhara na madhila yatokanayo na hizi tabia za kuuana kwa kujitetea kulinda utu na ustawi wa wauaji. Lakini anayelaumiwa kwenye mauaji haya ni Palestina

Afrika kuna mapigano karibia eneo kubwa la Bara hili, huku viongozi wa nchi za bara hili yaani zinazounda Umoja wa Afrika wakiendelea kujimwambafai pale Addis Ababa kwa robusta na aina kede za kahawa zinazopatikana mjini hapo. Karibia viongozi wote wapo handicapped kifikra kwa kuweka matumaini makubwa kwa nchi zilizoendelea hususan mataifa yanayotengeneza na kusambaza kwa wingi silaha na zana za mauaji duniani. Sisi Tanzania tumepeleka vikosi vya kulinda amani kwenye mataifa hayo na tunachoambulia ni kuwazika vijana wetu wanaouawa kwenye conflicts hizo zisizo na kichwa wala miguu.

Tutafakari haya


  1. DRC mapigano yanayoendelea, kwa nini hakuna juhudi za kumaliza mapambano yale? Kwa nini wanaouawa ni raia ambao siyo wahusika wa tofauti za kusaka madaraka baina ya makundi yanayopigana?
  2. Juba, mapigano yanayoendelea baina ya vikosi vya Serikali inayoongozwa na Salva Kiir na vikosi vya aliyekuwa makamu wake Riek Machari, mapigano hayo yanasababisha wakimbizi na mauaji ya kutisha kwa wananchi ambao kimsingi siyo sehemu ya ugomvi huo. Je nini kinafanyika kumaliza vita hiyo?
  3. Sudan Kaskazini, vita ni kubwa baina ya vikosi vya serikali na majenerali waliojitenga. wote wanasaka madaraka kuwaongoza watu ambao wanawaua kila kukicha kwa silaha zao... Nani wa kuzuia haya mauaji yasiendelee?
  4. Somalia bado ipo kwenye mapigano ya wenyewe kwa wenyewe
  5. Msumbiji imerudi kwenye kupigana vita vya msituni kutokana na vikundi vya kigaidi kujiimarisha Kaskazini mwa nchi hiyo. Eneo la Cabo Delgado siyo salama kwa raia kuishi kwa sababu wanachinjwa na kutishiwa usalama wao kila kukicha. Matukio hayo yanafanyika jirani na mpaka wa Tanzania na baadhi ya matukio yamejiri ndani ya ardhi ya Tanzania....
  6. Uganda, hakujatulia mapambano ya msituni yanaendelea
  7. Afrika Kaskazini ipo katika hekaheka ya mapambano ya msituni ndani ya nchi nyingi za mataifa ya eneo hilo.
  8. Syria, imekuwa vitani hususan dhidi ya mataifa yanayoongozwa na Marekani wakimpinga rais wa nchi hiyo, na kusababisha maafa makubwa ndani ya taifa hilo.
  9. Yemen, imekuwa katika vita inayopewa chapuo na mataifa makubwa ikiwemo Marekani
  10. Libya, ipo ndani ya Afrika lakini Mataifa makubwa chini ya kibali cha Umoja wa Mataifa yalienda kuua raia ili kumng'oa Gadaffi maradakani na hatimaye kumuua. na mpaka leo hakujatulia....
  11. Mifano ni mingi sana nsana.
Sasa tujiulize:
  1. Sisi Watanzania, tunapata wapi ujasiri wa kushabikia hizi vita zinazopiganwa duniani?
  2. Je, kwa sababu tunaishi kwa amani, tunayachukuliaje maisha ya Watoto na wanawake kwenye maeneo ya vita?
  3. Taifa letu, linapowapeleka vijana wetu kulinda amani kwenye maeneo ya vita, Ni amani ipi inayolindwa ikiwa hakuna upokonyaji wa silaha kwa mahasimu wa vita?
  4. Tunafaidika nini na ukimya ama kuchukua pande baina ya mahasimu wa kila vita?
  5. Taifa limejiandaaje ama linawaandaaje watu wake hususani kukabiliana na changamoto za Vita zinazopiganwa karibu na mipaka yetu?
  6. DO WE CARE?
Issue yako iko Gaza, huko kwingine unakutaja ili uonekane uko neutral. Ukianzisha vita, umalize mwenyewe.
 
Wapalestina wataendelea kufa ikiwa hamas itaendelea kuwashikilia mateka na kukataa kuwaachilia na kuendelea kujificha nyuma ya raia
Haya wacha waendelee kufa.

Je unafahamu DRC kinaumana kila kukicha? Una maoni gani
 
Acha unafiki Hakuna ardhi inayokaliwa ya wapalestina eneo lote Ni la wayahudi kupitia baby yao Yakobo,Mungu aliwapa na Lina mipaka yake
Acha uongo ardhi waliyopewa unajua ni Iraq huko? Kwanini hawaendi idai if at all wanafuata Biblia?
Mwanzo 15:18
[18]Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,
In the same day the LORD made a covenant with Abram, saying, Unto thy seed have I given this land, from the river of Egypt unto the great river, the river Euphrates:

Kama mnafuata maandiko nendeni mkaichukue misri mpaka Iraq na Syria!! Maana ndio ardhi Mungu alimpa Abraham!!

Mnajufanya kufuata maandiko alafu nusu nusu
 
Burundi na Rwanda na sehemu ya Mombasa je Ni sehemu ya Tanganyika?
Wacha kuzunguka, Israel Imekalia nchi ya watu kimabavu. Siku akitokea Hitler mwingine msije kulialia tena maana mmeonywa hamsikii
 
Duniani kote kila Bara kuna mapigano yanayoendelea huku kukiwa na ushawishi sifuri kwenye kusitisha hizo vita. Ninasema mapigano kwa sababu sehemu kubwa ya mapambano hayo yametokana na ushawishi wa makundi yanayolenga kufaidika na vita hizo. Kinachoendelea Ukraine na Urusi ni vita kamili kwa sababu pande zote wanaumizana na kila upande una uwezo wa kujibu mashambulizi ya kutoka upande hasimu. Anayelaumiwa hapo ni Urusi

pale Gaza, kinachoendelea siyo vita (kwa tafsiri yangu), bali ni mauaji ya halaiki ambayo yanadhaminiwa na Umoja wa Ulaya na Marekani kuisaidia Israel kuua watoto, wanawake na watu wa taifa la Palestina. Kwa nini nasema ni mauaji ya halaiki, ni kwamba Israel inatumia zana zote za kivita dhidi ya taifa ambalo kimsingi halijaingiza jeshi lake vitani. Hakuna zana wala kifaa chochote za kivita cha Taifa la Palestina zilizoingizwa vitani. Hakuna jeshi la Palestina lililopo mstari wa mbele kulinda mipaka yao ambayo inaingiliwa bila huruma na Israel. mauaji yanayoendelea yamejengwa kwenye dhana ya kupambana na ugaidi ambapo hata watoto na wanawake ambao kimsingi ni vulnurables kuwa wanawaficha magaidi. Ukiangalia ndani zaidi majuzi hapa Wafanyakazi wapatao 7 wa World Kitchen Centre wameuawa kwa kulengwa na vikosi vya Israel. Shirika hilo lenye makao yake makuu Marekani ndilo pekee lililosalia Gaza kutoa msaada wa kibinadamu ya chakula na maji safi. Hilo linajiri kwa sababu Israel imefunga mipaka ya kila kona kuzuia misaada ya kibinadamu kuwafikia Wapalestina waliokusanywa eneo la Kaskazini. Humu kwenye mitandao wamejaa washabiki wa kila namna bila kutafakari madhara na madhila yatokanayo na hizi tabia za kuuana kwa kujitetea kulinda utu na ustawi wa wauaji. Lakini anayelaumiwa kwenye mauaji haya ni Palestina

Afrika kuna mapigano karibia eneo kubwa la Bara hili, huku viongozi wa nchi za bara hili yaani zinazounda Umoja wa Afrika wakiendelea kujimwambafai pale Addis Ababa kwa robusta na aina kede za kahawa zinazopatikana mjini hapo. Karibia viongozi wote wapo handicapped kifikra kwa kuweka matumaini makubwa kwa nchi zilizoendelea hususan mataifa yanayotengeneza na kusambaza kwa wingi silaha na zana za mauaji duniani. Sisi Tanzania tumepeleka vikosi vya kulinda amani kwenye mataifa hayo na tunachoambulia ni kuwazika vijana wetu wanaouawa kwenye conflicts hizo zisizo na kichwa wala miguu.

Tutafakari haya


  1. DRC mapigano yanayoendelea, kwa nini hakuna juhudi za kumaliza mapambano yale? Kwa nini wanaouawa ni raia ambao siyo wahusika wa tofauti za kusaka madaraka baina ya makundi yanayopigana?
  2. Juba, mapigano yanayoendelea baina ya vikosi vya Serikali inayoongozwa na Salva Kiir na vikosi vya aliyekuwa makamu wake Riek Machari, mapigano hayo yanasababisha wakimbizi na mauaji ya kutisha kwa wananchi ambao kimsingi siyo sehemu ya ugomvi huo. Je nini kinafanyika kumaliza vita hiyo?
  3. Sudan Kaskazini, vita ni kubwa baina ya vikosi vya serikali na majenerali waliojitenga. wote wanasaka madaraka kuwaongoza watu ambao wanawaua kila kukicha kwa silaha zao... Nani wa kuzuia haya mauaji yasiendelee?
  4. Somalia bado ipo kwenye mapigano ya wenyewe kwa wenyewe
  5. Msumbiji imerudi kwenye kupigana vita vya msituni kutokana na vikundi vya kigaidi kujiimarisha Kaskazini mwa nchi hiyo. Eneo la Cabo Delgado siyo salama kwa raia kuishi kwa sababu wanachinjwa na kutishiwa usalama wao kila kukicha. Matukio hayo yanafanyika jirani na mpaka wa Tanzania na baadhi ya matukio yamejiri ndani ya ardhi ya Tanzania....
  6. Uganda, hakujatulia mapambano ya msituni yanaendelea
  7. Afrika Kaskazini ipo katika hekaheka ya mapambano ya msituni ndani ya nchi nyingi za mataifa ya eneo hilo.
  8. Syria, imekuwa vitani hususan dhidi ya mataifa yanayoongozwa na Marekani wakimpinga rais wa nchi hiyo, na kusababisha maafa makubwa ndani ya taifa hilo.
  9. Yemen, imekuwa katika vita inayopewa chapuo na mataifa makubwa ikiwemo Marekani
  10. Libya, ipo ndani ya Afrika lakini Mataifa makubwa chini ya kibali cha Umoja wa Mataifa yalienda kuua raia ili kumng'oa Gadaffi maradakani na hatimaye kumuua. na mpaka leo hakujatulia....
  11. Mifano ni mingi sana nsana.
Sasa tujiulize:
  1. Sisi Watanzania, tunapata wapi ujasiri wa kushabikia hizi vita zinazopiganwa duniani?
  2. Je, kwa sababu tunaishi kwa amani, tunayachukuliaje maisha ya Watoto na wanawake kwenye maeneo ya vita?
  3. Taifa letu, linapowapeleka vijana wetu kulinda amani kwenye maeneo ya vita, Ni amani ipi inayolindwa ikiwa hakuna upokonyaji wa silaha kwa mahasimu wa vita?
  4. Tunafaidika nini na ukimya ama kuchukua pande baina ya mahasimu wa kila vita?
  5. Taifa limejiandaaje ama linawaandaaje watu wake hususani kukabiliana na changamoto za Vita zinazopiganwa karibu na mipaka yetu?
  6. DO WE CARE?
Sija soma yote ila na assume ume andika Pumba bin Mashudu
Upuuzi mlio ufanyika oktoba 7 Hamas hawato kaa kusahau kama wata endelea kuwepo hai na baada ya hii operation hakutakua na nchi ina itwa palestine
 
Kwani hamas wanaendelea kushikilia mateka ulitegemea nini na hamas wanaporusha maroketi yao ulitegemea uje utafute huruma huku kupitia watoto na wanawake wa gaza
Et hawaja tumia silaha yoyote uyu mzee Msanii Atakua amekunywa wanzuki hamas kwa hiyo wana tumia Majambia?
 
Wapalestina wataendelea kufa ikiwa hamas itaendelea kuwashikilia mateka na kukataa kuwaachilia na kuendelea kujificha nyuma ya raia
Israel ina mateka 1,200 wa kipalestina ambao wamewekwa gerezani bila kesi wala kujulikana walipo!! Cha ajabu Hamas wameteka less than 300 ila kelele kibao.

Acheni justification za kihuni, mkifanya nyie haki ila wakiwajibu mnasema wamekosea.
 
Sija soma yote ila na assume ume andika Pumba bin Mashudu
Upuuzi mlio ufanyika oktoba 7 Hamas hawato kaa kusahau kama wata endelea kuwepo hai na baada ya hii operation hakutakua na nchi ina itwa palestine
Wapalestina duniani kote wapo million 13 kufa watu elfu 30 ni kama ndoo ya maji baharini!! Wameshakufa sana tokea 1890 unadhani nini kitawarudisha nyuma? Sauzi walikufa sana hawakukata tamaa hadi wakamuondoa mzungu madarakani.

So kabla ya 2030 tarajia mapigano makubwa zaidi. Hakuna uhuru umewahi patikana mezani
 
Sija soma yote ila na assume ume andika Pumba bin Mashudu
Upuuzi mlio ufanyika oktoba 7 Hamas hawato kaa kusahau kama wata endelea kuwepo hai na baada ya hii operation hakutakua na nchi ina itwa palestine
Ni maoni yako huru ndugu.
Rudi usome tena maana katikati ya pumba na mashudu labda utaokota nafaka mbili tatu
 
Et hawaja tumia silaha yoyote uyu mzee Msanii Atakua amekunywa wanzuki hamas kwa hiyo wana tumia Majambia?
Kikubwa nikushukuru kwa kinihesimisha kwa kuniia mzee.

Haya jenga hoja sasa
 
Back
Top Bottom