Mapigano yanayoendelea Gaza na unafiki wa Dunia

Idiot
 
Issue yako iko Gaza, huko kwingine unakutaja ili uonekane uko neutral. Ukianzisha vita, umalize mwenyewe.
 
Wapalestina wataendelea kufa ikiwa hamas itaendelea kuwashikilia mateka na kukataa kuwaachilia na kuendelea kujificha nyuma ya raia
Haya wacha waendelee kufa.

Je unafahamu DRC kinaumana kila kukicha? Una maoni gani
 
Acha unafiki Hakuna ardhi inayokaliwa ya wapalestina eneo lote Ni la wayahudi kupitia baby yao Yakobo,Mungu aliwapa na Lina mipaka yake
Acha uongo ardhi waliyopewa unajua ni Iraq huko? Kwanini hawaendi idai if at all wanafuata Biblia?
Mwanzo 15:18
[18]Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,
In the same day the LORD made a covenant with Abram, saying, Unto thy seed have I given this land, from the river of Egypt unto the great river, the river Euphrates:

Kama mnafuata maandiko nendeni mkaichukue misri mpaka Iraq na Syria!! Maana ndio ardhi Mungu alimpa Abraham!!

Mnajufanya kufuata maandiko alafu nusu nusu
 
Burundi na Rwanda na sehemu ya Mombasa je Ni sehemu ya Tanganyika?
Wacha kuzunguka, Israel Imekalia nchi ya watu kimabavu. Siku akitokea Hitler mwingine msije kulialia tena maana mmeonywa hamsikii
 
Sija soma yote ila na assume ume andika Pumba bin Mashudu
Upuuzi mlio ufanyika oktoba 7 Hamas hawato kaa kusahau kama wata endelea kuwepo hai na baada ya hii operation hakutakua na nchi ina itwa palestine
 
Kwani hamas wanaendelea kushikilia mateka ulitegemea nini na hamas wanaporusha maroketi yao ulitegemea uje utafute huruma huku kupitia watoto na wanawake wa gaza
Et hawaja tumia silaha yoyote uyu mzee Msanii Atakua amekunywa wanzuki hamas kwa hiyo wana tumia Majambia?
 
Wapalestina wataendelea kufa ikiwa hamas itaendelea kuwashikilia mateka na kukataa kuwaachilia na kuendelea kujificha nyuma ya raia
Israel ina mateka 1,200 wa kipalestina ambao wamewekwa gerezani bila kesi wala kujulikana walipo!! Cha ajabu Hamas wameteka less than 300 ila kelele kibao.

Acheni justification za kihuni, mkifanya nyie haki ila wakiwajibu mnasema wamekosea.
 
Sija soma yote ila na assume ume andika Pumba bin Mashudu
Upuuzi mlio ufanyika oktoba 7 Hamas hawato kaa kusahau kama wata endelea kuwepo hai na baada ya hii operation hakutakua na nchi ina itwa palestine
Wapalestina duniani kote wapo million 13 kufa watu elfu 30 ni kama ndoo ya maji baharini!! Wameshakufa sana tokea 1890 unadhani nini kitawarudisha nyuma? Sauzi walikufa sana hawakukata tamaa hadi wakamuondoa mzungu madarakani.

So kabla ya 2030 tarajia mapigano makubwa zaidi. Hakuna uhuru umewahi patikana mezani
 
Sija soma yote ila na assume ume andika Pumba bin Mashudu
Upuuzi mlio ufanyika oktoba 7 Hamas hawato kaa kusahau kama wata endelea kuwepo hai na baada ya hii operation hakutakua na nchi ina itwa palestine
Ni maoni yako huru ndugu.
Rudi usome tena maana katikati ya pumba na mashudu labda utaokota nafaka mbili tatu
 
Et hawaja tumia silaha yoyote uyu mzee Msanii Atakua amekunywa wanzuki hamas kwa hiyo wana tumia Majambia?
Kikubwa nikushukuru kwa kinihesimisha kwa kuniia mzee.

Haya jenga hoja sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…