Mapinduzi Cup 2015, Special thread..

Mi wananikera hawa watangazaji wa Azam tv mpaka basi....unazi unazi tu aaagh!!
 
Leo ni mieleka ngumi na kabumbu mashabiki twafaudu
 
Kama unakwazika na watangazaj wa Azam TV kaangalie, ndala TV
 
..hawa marefa wa Tanzania wote hopeless;mtu anatukana mbele ya refa,halafu lirefa linashangaa tu.!!
 
Hawa marefa wa Zenji wanachezesha ligi yao urojo urojo isiyokuwa na ushindani. Hii ni mechi kubwa sana kwao. Wameshindwa kumudu presha ya mchezo.
 
..hili li refa linaibeba kandambili,wameliletea wanajeshi na mi smg waje kulilinda.!!
 
Goooooo Yanga wanasawazisha. Lakini kuna utata. Nini pale?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…