Mapinduzi Cup: Mtibwa yatwaa kombe la Mapinduzi baada ya kuichapa Simba kwa goli 1 - 0

Hahahaaaa. Inamaana hujui yaliyotokea jana kweli mdogo wangu?

Habari ni hii hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

ๆˆ‘ไปฌ่ฆๅฅฝๅฅฝไผ‘ๆฏๅฅฝๅฅฝไผ‘ๆฏๅ˜›ๅ˜›่ฆๅŽป็œ‹ๅŒป็”Ÿ็š„ๅปบ่ฎฎๆ˜ฏๅ—
 
ๆˆ‘ไปฌ่ฆๅฅฝๅฅฝไผ‘ๆฏๅฅฝๅฅฝไผ‘ๆฏๅ˜›ๅ˜›่ฆๅŽป็œ‹ๅŒป็”Ÿ็š„ๅปบ่ฎฎๆ˜ฏๅ—
Wantaka nini lakini mdogo wangu zaidi ya kuniaibisha hapa. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Binamu Chumchang Changchum hebu kuja na tafsiri mana hii lugha kwako ndio nyumbani. ๐Ÿ˜Ž
 
Km sio ugeni na uchanga wa wachezaji wa Mtibwa Simba ilikua ipigwe 3:0 kipindi cha kwanza tu! Hawa madogo walitumia Counter attack na kuwaachia Simba mpira wacheze . Mbinu yao ilifaulu na kumuacha mdomo wazi Babu yao Kagere asijue cha kufanya. Big up sn wajukuu wa Kagere

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga huwa wanajifariji sana Simba inapofungwa. Wanasahau kabisa matatizo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ