ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
Yaani huwa sijui wana akili za vipi hawa watu wa njanoYanga huwa wanajifariji sana Simba inapofungwa. Wanasahau kabisa matatizo yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani huwa sijui wana akili za vipi hawa watu wa njanoYanga huwa wanajifariji sana Simba inapofungwa. Wanasahau kabisa matatizo yao
😀😀😀 Najua umesahau mnavyotufanyiaga Mtani. Yaani tunakosaga hata pa kujificha.Yani tafrani lako utadhani hili kombe wamebeba [emoji196] [emoji196]
Naona umekuja kuwafariji Kaka zako. 😃😃Yaani huwa sijui wana akili za vipi hawa watu wa njano
Umefika tena mpk huku ndukiii😍🏃🏿♂️🏃🏿♂️Naona umekuja kuwafariji Kaka zako. 😃😃
Waambie wapunguzage maneno mingi mingi mpira huwa unachezwa Uwanjani na sio Jf au Instagram. 💃💃
Ngoja niondoke kwenye huu uzi sasa mdogo wangu. 🙌🙌🙌🙌🙌Umefika tena mpk huku ndukiii😍🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Bora roho yangu itulieNgoja niondoke kwenye huu uzi sasa mdogo wangu. 🙌🙌🙌🙌🙌
#Kakizo makareya. 😀😀😀
Wantaka nini lakini mdogo wangu zaidi ya kuniaibisha hapa. 🤣🤣🤣🤣🤣
Binamu Chumchang Changchum hebu kuja na tafsiri mana hii lugha kwako ndio nyumbani. 😎
Muache atufariji maana mji mzima macho kwetu.. ukhuty tufariji..Naona umekuja kuwafariji Kaka zako. 😃😃
Waambie wapunguzage maneno mingi mingi mpira huwa unachezwa Uwanjani na sio Jf au Instagram. 💃💃
Usijali tuna jipanga upya.Wee mimi mwenyewe nina hali mbaya please tufarijiane
Hili ndio lililobakiaUsijali tuna jipanga upya.
View attachment 1323062
Inawezekana mapenzi ni upofu lakini na chuki ni upofu pia..Najua unakoelekea, hili goli halijatokana na makosa ya Kakolanya, bali kosa la mabeki. Manula aendelee tu kusugua benchi.
翻译给我们?我们要好好休息好好休息嘛嘛要去看医生的建议是吗
Sizi tume jitutumua lau fainali😁Hahahaaaa. Inamaana hujui yaliyotokea jana kweli mdogo wangu?
Habari ni hii hapa👇👇👇
Haaa haaa haaaMdogo wangu huwa kisikia hii kauli huwa nacheka tu hihihihihiiiii.
Wangekuwa na kikosi kipana wasingelia lia jana kuomba wachezaji wafanyiwe sub.
Umeforce kujamba wakati huna marinda.Sizi tume jitutumua lau fainali😁