Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa, mambo kama haya harafu mtu anakuja anasema kocha alikuwa anapangiwa kikosi , mkisema mumuachie apange yeye anawaletea maajabu hayaAmeniudhi sana,kafungwa sub nzima imeanza kupasha. Hawa ndio wale wakiambiwa ukweli wanadai uongozi unawapangia kikosi. Pumbaaaavu
NilishangaaHuyu kocha anapima upepo wa Wanasimba, ngoja waaanze kucheza na majukwaa tupu ndio ataelewa kuwa hatupendagi ujinga. Rashid Juma, Ndemla na Shamte ndio wa kucheza fainali kweliðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Ongezea Gadiel + santosHuyu kocha anapima upepo wa Wanasimba, ngoja waaanze kucheza na majukwaa tupu ndio ataelewa kuwa hatupendagi ujinga. Rashid Juma, Ndemla na Shamte ndio wa kucheza fainali kweli[emoji24][emoji24][emoji24]
Wadau tupeni updates mbona kimya...wengine bado tupo magengeni!
Ameniudhi sana,kafungwa sub nzima imeanza kupasha. Hawa ndio wale wakiambiwa ukweli wanadai uongozi unawapangia kikosi. Pumbaaaavu
Naunga mkono. Huwezi kufanya usenge wa kujaribu kikosi fainali
We mbumbumbu unaongea kama naniMkude na chama wanapooza mashambulizi bora watoke
Nyie mbumbumbu si mna kikosi kipanaHuyu kocha anapima upepo wa Wanasimba, ngoja waaanze kucheza na majukwaa tupu ndio ataelewa kuwa hatupendagi ujinga. Rashid Juma, Ndemla na Shamte ndio wa kucheza fainali kweli[emoji24][emoji24][emoji24]