Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,021
- 2,242
Mbona uzi hauna matokeo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kocha ndo anaingiza wawili wawili.ameharibu sana
Nampeleka TP Mazembe
Mbona uzi hauna matokeo?
Kama ninamwona Uchebe anavyowacheka.Tuacheni utani, Simba walifanya ujuha kufukuza kocha
Acha mihemko tulia dawa iwaingie vizuriWakuu hii Simba itaniua kwa B.P, hivi hawajui kuwa tunaumia kiasi gani?Hii nchi ingekuwa Colombia ningeshaua wachezaji kadhaa wa klabu yangu ya Simba.
Michezaji yetu inaonekana inacheza kama haina malengo vile, hii ni tofauti sana na Mtibwa. Marking mbovu mbovu tu, kocha mzungu naye macho kama ana utitiri.
Iko day sisi mashabiki wa Simba tutawafungia kazi hawa wachezaji.
Ila tutapata na msaada wa refa kidogo kama alivyotubeba lile tuta la first halfWala hofu sina....mnyama anabeba ndoo.!!
Moja lazima liwe la refa hapoSimba in shinda 2_1