Mapinduzi Cup: Mtibwa yatwaa kombe la Mapinduzi baada ya kuichapa Simba kwa goli 1 - 0

Huyu kocha anapima upepo wa Wanasimba, ngoja waaanze kucheza na majukwaa tupu ndio ataelewa kuwa hatupendagi ujinga. Rashid Juma, Ndemla na Shamte ndio wa kucheza fainali kweli😭😭😭
 
Huyu kocha anapima upepo wa Wanasimba, ngoja waaanze kucheza na majukwaa tupu ndio ataelewa kuwa hatupendagi ujinga. Rashid Juma, Ndemla na Shamte ndio wa kucheza fainali kweli😭😭😭
Nilishangaa
 
Tulimsamehe kufungwa na yanga kwa Leo hatutamuacha salama
 
Simba ubingwa ni lazima mtibwa hawana mikono ya kubebea kombe hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…