Mapinduzi Cup: Mtibwa yatwaa kombe la Mapinduzi baada ya kuichapa Simba kwa goli 1 - 0

Uchebe alimuonya. Board imejaa waongo na vilaza.
 
"Ni aibu Simba kutoshinda, baada ya kulipa mishahara inayokaribia Bilioni 4 kwa mwaka, najiuzulu kama mwenyekiti wa bodi na kubakia muwekezaji, Simba Nguvu Moja, nitatia nguvu kwenye kuendeleza miundombinu na soka la vijana">>> MODewji baada ya Simba kufungwa #MillardAyoSPORTS millardayo on Twitter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…