Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,570
- 10,517
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora awekeze kwa watoto kuliko hawa kina KagereDuuh,Mo naye dhaifu sana,kutikiswa kidogo tu anaweweseka.
Kocha manina zake,simuungi mkono asepe pumbavu kabisa
Uchebe alimuonya. Board imejaa waongo na vilaza.Mo yuko sahihi
Tumetolewa Caf
Tumeshindwa kumfunga yanga
Tumeshindwa Kuchukua kombe la mapinduzi
Bodi ikashauri kumtimua kocha na yeye akakubali lakini amekuja kugundua kuwa ilikuwa VERY BIG MISTAKE
so maamuzi yake ni sabihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchebe alimuonya. Board imejaa waongo na vilaza.
Huyo kocha mpya anatakiwa amuache Matola apange kikosi mpaka yeye atakapowajua vizuri wachezajiHaya ndio matokeo yake,uchebe angekuwepo mechi ingeisha mapema tu
Simba kapakatwa
[/QUOTE kapakatwa na fisi
Kikosi kipana kimepanuliwaWangekuwa makini wangekuwa washatupiga hata 3, ila yote haya kayataka kocha. Hiki siyo kikosi cha kucheza fainali yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Learning the hard wayBoss Naye kachomoa betri.
View attachment 1322357
Wamepoteana hukoK
Kikosi kipana kimepanuliwa
Waliifunga timu ya daraja la kwanza huko
Afadhali yako we Arsenal, ndugu yako hapa Man U nina maisha magumu hakuna mfano, nilitegemea simba huku atanifariji kumbe nae wale wale tu.Hapa ndo utaona faida ya kupenda timu partially.... Hivyo sijaumia saaana... Yaani asenali anipe mawazo na simba tena...
Ndiyo maana halisi ya umbumbumbu,tumshukuru sana Rage