Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mpaka sasa ushalala na viatu.Simba in shinda 2_1
Kama inauma chomoaHalafu wafuga kambare wa sahara ndo wanashangilia sana mbona.... Au ndo wamemfunga simba leo
Hapana mkuu ...Mimi nilianza kuujua mpira,kabla baba yako hajamchumbia mamako!Naona mpaka sasa ushalala na viatu.
Mtaelewa tu,mpeni Manara timuKocha manina zake,simuungi mkono asepe pumbavu kabisa
Kuwa mpole matusi ya nini,sisi watu wa mpira hatutukanani,ndio matatizo ya mpira kuujulia ukubwani.Pole na kikosi chenu kipana naona Mtibwa wame kipanua.Yanga yaelekea mnaujus utamu wa Mtibwa
Hapana mkuu ...Mimi nilianza kuujua mpira,kabla baba yako hajamchumbia mamako!
Hahahaa, na Mo kajiudhulu
Naye Mswahili,hivi kina Mtibwa waio hawajawekeza!Kama huyu Ni Dewji ..let him Go,Uwekezaji unahitaji uvumilivu.Moe amejiuzulu uenyekiti sasa atabaki kama muwekezaji tu,na nguvu zaidi ni kujenga miundombinu na academy ya watoto....
Source..moe tweeter account
Duuh,Mo naye dhaifu sana,kutikiswa kidogo tu anaweweseka.
Kama Chura alipanuliwa Dk ya 90Kuwa mpole matusi ya nini,sisi watu wa mpira hatutukanani,ndio matatizo ya mpira kuujulia ukubwani.Pole na kikosi chenu kipana naona Mtibwa wame kipanua.
Nachomoa kwa yule nachomeka kwako...si itakuwa poa
Ndio tatizo la cheap labour mkuuWapuuzi sana,wanafukuza kocha wanaleta mtu wa ajabu
Moe hana kifua jamaaNaye Mswahili,hivi kina Mtibwa waio hawajawekeza!Kama huyu Ni Dewji ..let him Go,Uwekezaji unahitaji uvumilivu.
Mzee huko juu kunamatusi