Mapinduzi Cup: Mtibwa yatwaa kombe la Mapinduzi baada ya kuichapa Simba kwa goli 1 - 0

Mapinduzi Cup: Mtibwa yatwaa kombe la Mapinduzi baada ya kuichapa Simba kwa goli 1 - 0

Liverpool FC ilifungwa 5 - 0 na Aston Villa katika kombe la Carabao (Wengine mmezoea Carling Cup).

Lakini Liverpool hiyo hiyo imeshinda michezo 20 na kutoa sare 1 katika michezo 21 ya ligi (EPL).

Hivyo basi, vipaumbele ndio tatizo. Simba ametimiza wajibu kushiriki kwenye hako kakombe na sio kwamba ilikua ndio kipaumbele chake. Simba kipaumbele chake ni kuwa bingwa wa Afrika na Tanzania sio kushinda kakombe kanakochezwa week moja.
Kombe hili halikuwa kipaumbele cha Simba kwa dalili na kigezo gani? Ya Mwenyekiti wa Bodi kujiuzulu baada ya kulikosa? Ya kocha kupeleka timu kamili, hasa baada ya kuingia nusu fainali? Ya kutomjumuisha Manula, ambaye kwa vyovyote asingekuwa sawa kisaikolojia baada ya ‘kuangushiwa jumba bovu‘ kwa matokeo ya 2-2 dhidi ya Yanga? Ya kutotaka kulipiza kisasi kwa Azam iliyowafunga kwenye fainali ya mwaka jana? Ya kauli za viongozi na washabiki kwamba timu imeifuata Yanga Zanzibar ili kujua ile Sare ya 2-2 imepatikanaje? Ya kuwa Kishingo ni kocha mjinga kiasi cha kutothamini nafasi ya kutwaa taji lake la kwanza tangu apewe timu? Ya viongozi na washabiki wa Simba kuhimizana kuja kwa wingi kwenye fainali, wakafanya hivyo na wakashangilia kwa nguvu zote? Ya wachambuzi wa michezo (mf. Sport Arena) kwamba Yanga ilifanya utoto kudhani imemaliza mechi ya nusu fainali baada ya kuiongoza Mtibwa na pia kupeleka wachezaji wengi wasiopata nafasi ya kucheza, tofauti na wenzao Simba? Ya vyombo vya habari vilivyotabiri kwamba rekodi zinaibeba Simba kwenye fainali huku Simba wenyewe wakifurahi? Ya viongozi wa Simba walioanza‘Maandalizi‘ ya mechi ya Mtibwa tangu usiku wa Januari 12 kwa kupewa fursa ya kuingia kiwanjani na ‘kufanya yao’? Kipi kitamshawishi mwenye akili timamu kwamba Simba ilidharau Kombe la Mapinduzi?
 
Vichwa vya habari vya magazeti ya leo
1.Bila hirizi Simba haitambi
2.Mbeleko yagoma Leo
3.Simba wapo porini hawa waliopo Mjini ni mapaka ya bar
4.Pingili ya muwa yazama mkiani kwa simba
5.Rununu zinasumbua Hata ukiandika neno Simba inakuja Simbilis
6."Bora refa angekuwa mmama tena " asema Manara
7.Simba Kama housegirl yaani kimoja tu MIMBA
8.Simba ni zaidi ya maharage ya Mbeya hata ukilibana kwenye kwapa linaiva
9."Bora pesa yangu Hata ningewekeza kwenye Upatu" bilionea asema hayo
10.Bosi wa simba abwaga manyanga ni baada ya Timu yake kulewa muwa.
11. Mapinduzi aendelea kuipindua simba kama balama.
 
Swahiba walijua Mtibwa ni timu ya mchezo mchezo. 😀😀
Sasa angalia kikosi chetu kilichotolewa na mtibwa kwa matuta na kikosi cha mikia kilichopigwa kimoko ndani ya dk 90,yan mikia inabidi waelewe mpira auchezwi magazetini au insta 😂
 
Mnasahau tu kuwa Mtibwa Sugar Ni wababe wetu na sisi Simba tumekuwa tukiangukia kwao?
 
TUPATE GHAHAWA KIDOGO AU ALKASUSU??
Vichwa vya habari vya magazeti ya leo
1.Bila hirizi Simba haitambi
2.Mbeleko yagoma Leo
3.Simba wapo porini hawa waliopo Mjini ni mapaka ya bar
4.Pingili ya muwa yazama mkiani kwa simba
5.Rununu zinasumbua Hata ukiandika neno Simba inakuja Simbilis
6."Bora refa angekuwa mmama tena " asema Manara
7.Simba Kama housegirl yaani kimoja tu MIMBA
8.Simba ni zaidi ya maharage ya Mbeya hata ukilibana kwenye kwapa linaiva
9."Bora pesa yangu Hata ningewekeza kwenye Upatu" bilionea asema hayo
10.Bosi wa simba abwaga manyanga ni baada ya Timu yake kulewa muwa.
11. Mapinduzi aendelea kuipindua simba kama balama.
 
Kombe hili halikuwa kipaumbele cha Simba kwa dalili na kigezo gani? Ya Mwenyekiti wa Bodi kujiuzulu baada ya kulikosa? Ya kocha kupeleka timu kamili, hasa baada ya kuingia nusu fainali? Ya kutomjumuisha Manula, ambaye kwa vyovyote asingekuwa sawa kisaikolojia baada ya ‘kuangushiwa jumba bovu‘ kwa matokeo ya 2-2 dhidi ya Yanga? Ya kutotaka kulipiza kisasi kwa Azam iliyowafunga kwenye fainali ya mwaka jana? Ya kauli za viongozi na washabiki kwamba timu imeifuata Yanga Zanzibar ili kujua ile Sare ya 2-2 imepatikanaje? Ya kuwa Kishingo ni kocha mjinga kiasi cha kutothamini nafasi ya kutwaa taji lake la kwanza tangu apewe timu? Ya viongozi na washabiki wa Simba kuhimizana kuja kwa wingi kwenye fainali, wakafanya hivyo na wakashangilia kwa nguvu zote? Ya wachambuzi wa michezo (mf. Sport Arena) kwamba Yanga ilifanya utoto kudhani imemaliza mechi ya nusu fainali baada ya kuiongoza Mtibwa na pia kupeleka wachezaji wengi wasiopata nafasi ya kucheza, tofauti na wenzao Simba? Ya vyombo vya habari vilivyotabiri kwamba rekodi zinaibeba Simba kwenye fainali huku Simba wenyewe wakifurahi? Ya viongozi wa Simba walioanza‘Maandalizi‘ ya mechi ya Mtibwa tangu usiku wa Januari 12 kwa kupewa fursa ya kuingia kiwanjani na ‘kufanya yao’? Kipi kitamshawishi mwenye akili timamu kwamba Simba ilidharau Kombe la Mapinduzi?
Bwana mdogo hebu niandikie kistaarabu kwa aya ili niweze kusoma maana hapa nilipo nina mambo mengi sana.
 
Back
Top Bottom