Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
πππNa mpiiiiiiraaaaaaa umekwishaaaaa
Karibuni sana Mabingwa watetezi wa Ligi Tanzania Bara
Mtakuja na mtumbwi au tuwaletee Mashua
Tumewashinda,tumetoka na points 4ππ nyie 3,hatujafungwa hata mechi moja,mmefungwa mechi moja.Wale walitumwa wakapashe misuli it was just mazoezi.... π na kutoa gundu
Tutakaa kule nje KabisaKesho kutakuwa na ugomvi mkubwa sana kugombania siti ya dirishani
Ila mpooo mashindanoni au hampoooo?Tumewashinda,tumetoka na points 4ππ nyie 3,hatujafungwa hata mechi moja,mmefungwa mechi moja.
Utetezi kesho kwenye kijiwe Cha kahawa.....
Used?Hivi kesho wanaingia na boti ya SAA ngap yanga[emoji196], nataka kumuagiza kambole flat screen [emoji2773]
HahahahahahaKesho kutakuwa na ugomvi mkubwa sana kugombania siti ya dirishani
Mmechoka hivi jamaniUsed?
Tunashindana na nyie, Takwimu tumewazidi πIla mpooo mashindanoni au hampoooo?
Ila jamani khaaa haya ila wote tumefurushwaaTunashindana na nyie, Takwimu tumewazidi π
Kuna mtu anataka flat screen......aletewe na KamboleMmechoka hivi jamani
Pamoja na hilo ila sisi tunatakwimu bora πIla jamani khaaa haya ila wote tumefurushwaa
Ndo maana miguu yake imekufa ganzi anashindwa kucheza vizuriWenzenu wapo Dubai
Mkivuka maji mnapakwenda?
Au mtavuka maji mengine tena kuelekea Avic Town kumrudisha Kambole ghetto kwake?
Sema safari hii muwe mnamuachia ka space kidogo, yale maswala ya kupigwa marufuku kutoka nje kuhofia kunaswa na Camera za majournalist sio mchongo