Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mkuu umeanza vizuri ila umeharibu mwishoniKilicho nifurahisha zaidi ni kuona Yanga imewaacha wachezaji wake muhimu kwa ajili ya mashindano muhimu ili wasipate injury na kuwapa nafasi wachezaji wale ambao sio tegemezi
Lakini Kisinda eti hakuwepo
Maanake huyu ni mchezaji tegemezi kwenye mechi muhimu
Aah hii nchi ina vituko sana
Ukifananisha na zenu unaonaje?Hakuna mshindwa bora msijifariji
Hizo points 4 ni pointless hazina msaada kama kivuli cha fimbo
Hapo bora nibaki mwenyewe tuHapa Kisinda hapa Kambole
Chagua moja
Sisi tangu mwanzo hatukuonesha nia ya kushiriki haya mashindanoUkifananisha na zenu unaonaje?
Bora sisi tumetotewa, kuna madunduka yalitolewa na kufungwaNgalikihinja uko wapi wewe nyoka leo... tunatolewa huku
Utopolo kwa kujifariji.Tatizo hawawezi hata kuandika maneno yakaeleweka."Tumetotewa"ndio nini?Au presha ya feri.Kwani mgomo si bado mtaruhusiwa kupanda msijali.Bora sisi tumetotewa, kuna madunduka yalitolewa na kufungwa
Ulifanya vizuri kuwasaidiaMechi nyingine ya kuamua nani abaki nani asalie
Singida amepewa nafasi kubwa sana kushinda mechi hii kutokana na kikosi chake kuwa kamili tofauti na Yanga ambao wao wamejaza wachezaji wengi kutoka kikosi cha vijana.
Personal view
Singida licha ya kwamba ana kikosi kikubwa au kile cha kwanza anachokitumia katika ligi kuu lakini binafsi simuamini sana.
============
Club ya Yanga yaaga rasmi mashindano ya Mapinduzi Cup baada ya mechi kumalizika kwa sare ya 1-1
Singida anafanikiwa kusonga mbele kwa advantage ya goli 2 alizozipata kwenye jumla ya michezo aliyocheza dhidi ya mpinzani wake Yanga
Singida atakutana na Azam (washindi mara 5 wa kombe hili) kwenye hatua inayofuata
Naam ulikuwa nami Scars kutoka mwanzo mpaka hapa mwisho nikishirikiana na wadau wengi wa jukwaa hili, niwashukuru sana kwa mchango wenu
Bye bye
Lakini mmetolewaBora sisi tumetotewa, kuna madunduka yalitolewa na kufungwa
Madunduka FC πππππBora sisi tumetotewa, kuna madunduka yalitolewa na kufungwa
Ila hawawezi kwenda Dubai maana itaonekana wanamfuata Feisal kumbembelezaYanga SC wanaiga kila kitu kwa SSC.
No Mayele no problemKwa hiki kikosi cha kukamia cha SBS, kuna uwezekano mkubwa kwa Wananchi kutolewa leo.
All in all, nawatakia wananchi wenzangu ushindi mnono.
Kwani mgomo unaendelea?Na mpiiiiiiraaaaaaa umekwishaaaaa
Karibuni sana Mabingwa watetezi wa Ligi Tanzania Bara
Mtakuja na mtumbwi au tuwaletee Mashua
Singida anafanikiwa kusonga mbele kwa advantage ya goli 2 alizozipata kwenye jumla ya michezo aliyocheza dhidi ya mpinzani wake Yanga[emoji23]Mechi nyingine ya kuamua nani abaki nani asalie
Singida amepewa nafasi kubwa sana kushinda mechi hii kutokana na kikosi chake kuwa kamili tofauti na Yanga ambao wao wamejaza wachezaji wengi kutoka kikosi cha vijana.
Personal view
Singida licha ya kwamba ana kikosi kikubwa au kile cha kwanza anachokitumia katika ligi kuu lakini binafsi simuamini sana.
============
Club ya Yanga yaaga rasmi mashindano ya Mapinduzi Cup baada ya mechi kumalizika kwa sare ya 1-1
Singida anafanikiwa kusonga mbele kwa advantage ya goli 2 alizozipata kwenye jumla ya michezo aliyocheza dhidi ya mpinzani wake Yanga
Singida atakutana na Azam (washindi mara 5 wa kombe hili) kwenye hatua inayofuata
Naam ulikuwa nami Scars kutoka mwanzo mpaka hapa mwisho nikishirikiana na wadau wengi wa jukwaa hili, niwashukuru sana kwa mchango wenu
Bye bye
Osie Tate MkuuKwa hiki kikosi cha kukamia cha SBS, kuna uwezekano mkubwa kwa Wananchi kutolewa leo.
All in all, nawatakia wananchi wenzangu ushindi mnono.